Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Bmkubwa alizimia.... Kuna mdogo wangu wakike alilia hatari, simu yangu ikaanza kupigwa kwafujo zote manamba mageni ndio usiseme nikawa nawachora2 sikupokea. Baada yamda nikamtafuta msela nikampanga akawa kapiga namba yamdingilili akamueleza kuwa walikuta nimejinyonga nawakanichukua kunipeleka hsptl, nilipofikishwa hsptl wakagundua sijafa ila nilikuwa nimezimia. Ndo sasa nikaanza kuwaendesha navyotaka mimi mtoto nikageuka kuwa mkubwa nawenyewe wakageuka watoto
Wewe ni hatari kweli [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Shuka mambo mkuuu. Ungekuwa unaweka na miaka.
Mkuu ilo nililifikiria mwanzon kabisa kabla sijapost kipande cha kwanza. Niliamua kutoweka miaka, majina ya sehem niliyotoka, niliposomea n.k ili kuficha ID yangu maana kuna watu kumbukumbu zao ziko vzr, wanaweza kunijua... Lakini pamoja na hayo yote, kuna mshikaji mmoja amenijua [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28],ameni pm jina la mzee wangu. Badae nitakwambia imekuwaje akanitambua.
 
Mkuu ilo nililifikiria mwanzon kabisa kabla sijapost kipande cha kwanza. Niliamua kutoweka miaka, majina ya sehem niliyotoka, niliposomea n.k ili kuficha ID yangu maana kuna watu kumbukumbu zao ziko vzr, wanaweza kunijua... Lakini pamoja na hayo yote, kuna mshikaji mmoja amenijua [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28],ameni pm jina la mzee wangu. Badae nitakwambia imekuwaje akanitambua.
Hahhahaha jamani watu nao hawana dogo
 
Back
Top Bottom