Mango juice
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 345
- 467
Tiririka mkuu nakufuatilia kwa umakini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yangu yamejaa maumivuYaani huwa natamani ningekuwa na maisha ambayo naweza kusimulia.
Kuna watu maisha yao ni shule nzuri sana.
Maisha yangu yamejaa maumivu
Nadhani kuna siku itabidi niandike ka mshikaji
Enzi hizo mi omba omba dar
Siji sahau
Hapana sio uongoKwa jinsi ulivyo comedian, story yako tutajua unatufix.
Chitemo mimi masikini, uvivu wangu nyumbani
Ukiwa huu njiani nakufa hapa kwanini
Sadiki sasa ashiba chakula kingi kwa baba....
UpoHahaaa ndio maana mzee wako alikuambia huo ndio ukubwa.
Ni rahisi sana kutamani lakini ni maisha magumu na ya mateso sana mkuuu...Yaani huwa natamani ningekuwa na maisha ambayo naweza kusimulia.
Kuna watu maisha yao ni shule nzuri sana.
safi sana.Umechemka haswaaaa DUH!!!!
kumbe nawe wale wale wanaopenda kupinga ya watu.. tena huyu ni story yake mwenyewe anasumulia. muonekana mnayajua sana kila kitu humu.. kumbe pwaaa.. eeeeeh.. huwa nawapita ila hii ya true story imebidi nikuambie uwe unatulia shaaaa..
Makubwa.. nauli aliyopewa ilibidi ujiongeze.
Mazoea mazoea mimi naweza msaidia mtu 10 elfu nikijua anenda kupanda basi safari moja.. zilizobaki ni atajiju nazo. Ungekuwa wa hivyo usingejichemsha aiseeee duh!!!
Ni rahisi sana kutamani lakini ni maisha magumu na ya mateso sana mkuuu...
Mshukuru Mungu hujapitia aina hiyo maana si raha wala fahari kupitia aina hiyo ya maisha.
Kuna ambavyo hawezi viweka na visimulia vigumu na vinaumiza..Acha kabisa mkuuu Mwombe Mungu akuepushie.
safi sana.
nawachukiaga watu wanaojua angalia kasoro...mbona huko madarasani walikua wanafanya Mitihani hadi mwisho mpk mwalimu anakuja anawambia swali la 10 lina makosa,ila yeye alishafanya na jibu akapata.
mijitu ya namna hii naipitaga na inaniboaga natamani niitwishe mitusi sema kila tusi naona sio jipya ni yale yale.
Asante kwa kunsaidia mchana.