Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Hongera sana mkuu kwa kupata baba unaejivunia kuwa nae!
wengine kwa mababa zetu tumeambulia majina ya pili tu!manake una baba ambae hajui chochote kuhusu wewe wala hataki kujua asa story kama hizi ndo unaishia kuziona hapa jf tu
Poleni sana wako!
 

Upendo na msimamo[emoji1431]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…