Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Hujampa sasa, hebu fanya kumtupia PM"we ukimpata nipe namba yake mi nitamaliza kila kitu" mpe namba yangu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujampa sasa, hebu fanya kumtupia PM"we ukimpata nipe namba yake mi nitamaliza kila kitu" mpe namba yangu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poleni sana wako!Hongera sana mkuu kwa kupata baba unaejivunia kuwa nae!
wengine kwa mababa zetu tumeambulia majina ya pili tu!manake una baba ambae hajui chochote kuhusu wewe wala hataki kujua asa story kama hizi ndo unaishia kuziona hapa jf tu
Kumbe hukuipata ile duuh, niliigawa sana kumbe mtu wa ndani kwangu hana. Muombe binti yako Heaven Sent akutumie kama bado anayoNaomba link ya Samwel mdodo shem
Good morningYou can never imagine how I felt when I read what you wrote here!
Ulikuwepo????Daah hatimaye
Yeah nilikuwa nafuatilia kimya kimyaUlikuwepo????
Kwenye post #1 mwishoni umeandika muendelezo unapatikana kwenye post ipi na ipi ila hiyo #387 hujaiweka..Sijakuelewa chief
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Twhteh....ulishaanza kunpotezea?
Mimi nlikuwa nafuatilia kwa sautiYeah nilikuwa nafuatilia kimya kimya
[emoji3][emoji3][emoji3] khaaa aisee hili sonyo la kwangu kabisaGood morning mwenyewe
Mfyuuuuuuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We si mpiga kelele mashuhuriMimi nlikuwa nafuatilia kwa sauti
Hivi una nini lakini aiseee??[emoji3][emoji3][emoji3] khaaa aisee hili sonyo la kwangu kabisa
Haaaaa!! Kumbe?? Halafu unajua nipo hapa bandarini na hutokei tu??We si mpiga kelele mashuhuri
Haaaaa!! Kumbe?? Halafu unajua nipo hapa bandarini na hutokei tu??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimefanyaje tena? Naona unataka kunigeuzia kesi[emoji3][emoji3]
Mkuu umetisha sana, kuna mafunzo makubwa sana katika huu uzi wako, hasa kwa ambao tumeshakuwa baba, msimamo & upendo ni jambo la muhimu sana japo haya mambo hayatakiwi kuingiliana kabisa, nimejifunza kwa baba yako japokuwa alikuwa anakupenda sana lakini alibaki na msimamo wake ujifunze kitu katika maisha, na akahakikisha umekikamilisha hata pale ulipoamua kurudisha mpira kwa kipa...hakika wewe ni muandishi bora kabisa, God bless You
😭😭😭😭😭😭😭[emoji3][emoji3] pambana na hali yako
[emoji3][emoji3][emoji3] sasa ukimwambia unadhani itakula kwa nani kama sio kwako mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au nimwambie???