Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Pamoja mkuu, we live to see and experience .
 
Daaah hya maisha bhan binafsi ni moja Kati ya watu ambao nilisota san na maisha ila baada ya kusoma huu uzi ndo nagundua yale mateso niliyopitia ni chamtoto tu asee [emoji23][emoji23]
Sema ndohvo changamoto huwa tunazidiana sema daah wanaume kweny utaftaji tunapitia meng sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kilimo kina wenyewe
 
Ndo hivyo mkuu. Muhimu pumzi
 
Kwa mara ya pili tena nimeipitia hii story,asante sana mkuu Analyse
 
Samahani mkuu labda kama nimechanganya utanisahisha, nilivyokuelewa ni kwamba stori nzima inamhusu au ni hustle alizopitia baba yako na si wewe, wewe umehusika sehemu ya kilimo tu. Pia hyo ina maana kwamba aliyekataa kusoma HKL na kukimbilia mjini ni baba na si wewe.
 
Umechanganya. Relax mkuu, soma kwa utulivu.
 
Nimerudi kusoma uzi huu upya...

Analyzer kuna muda unajichanganya sana. Mara chuo mara form 4....

Anyway safi sana kwa kutoa elimu.
 
Nimerudi kusoma uzi huu upya...

Analyzer kuna muda unajichanganya sana. Mara chuo mara form 4....

Anyway safi sana kwa kutoa elimu.
Na ilo ndio lengo langu mkuu. Sema Mimi Wala sijichanganyi, ninajua ninachokiandika. [emoji28][emoji28]
 
Sasa umeandika mahali kwenye hii post kwamba baada ya kumaliza chuo ulisota na ajira hakuna...napata ukakasi maana wewe ulikimbia HKL ukaamua kutumia nguvu...! Kipi ni kipi?
 
Sasa umeandika mahali kwenye hii post kwamba baada ya kumaliza chuo ulisota na ajira hakuna...napata ukakasi maana wewe ulikimbia HKL ukaamua kutumia nguvu...! Kipi ni kipi?
Ukakasi unaupata kwavile unajaribu kumuelewa mwandishi badala ya contents mkuu. Take it easy!
 
Asante mkuuu,nimeisoma,duuuu!!

Tuwaheshimu Sana wazazi

Hapo kwa role model wa mtu nimeelewa, yaani unakuta watu tunajua maisha na historia ya watu walio ulaya nk wakati hata ya historia ya wazazi wetu hatujui, Kuna Cha kujifunza hapo.

Thanks
 
Asante mkuuu,nimeisoma,duuuu!!

Tuwaheshimu Sana wazazi

Hapo kwa role model wa mtu nimeelewa,yaani unakuta watu tunajua maisha na historia ya watu walio ulaya nk wakati hata ya historia ya wazazi wetu hatujui,Kuna Cha kujifunza hapo.

Thanks
Pamoja mkuu [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…