Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Jf nimejiunga siku nyingi,nashangaa hz story zilinipita,ila nakumbuka 2019 nilkuwa kwenye msoto wa shule ya afya na jf nilkuwa naingia mara moja moja sana,visa vyako ni vikali sana,ile thread ya mwanamke uliezaa nae ndo imenileta mpaka huku
 
Aisee dingi alikuwa na akili sana,ila ana mambo ya kikauzu sana ila kuna muda yanachekesha
 
Jf nimejiunga siku nyingi,nashangaa hz story zilinipita,ila nakumbuka 2019 nilkuwa kwenye msoto wa shule ya afya na jf nilkuwa naingia mara moja moja sana,visa vyako ni vikali sana,ile thread ya mwanamke uliezaa nae ndo imenileta mpaka huku
[emoji28][emoji28][emoji28] msoto ndio ulisababisha usione Uzi mkuu
 
Aisee dingi alikuwa na akili sana,ila ana mambo ya kikauzu sana ila kuna muda yanachekesha
Mzee jembe sana yule. Namtakia maisha marefu yenye amani siku zote [emoji120][emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah! Mwanangu Upo Vizuri sana kwenye Kusimulia
 
Had machozi yananilenga mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…