Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha, naona kuna kitu unakitafuta na hii corona. Utakipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha, naona kuna kitu unakitafuta na hii corona. Utakipata.
Huu utabaki kuwa uzi wangu namba moja humu jf wa pili ni ule wa bwana joohs na Mambo yake ya utajiri wa nguvu za giza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji11] I like u...ila nionee huruma jaman nasoma huku nacheka..mtiririko mzuri sana sana..unapangilia maneno..ila nnacheka balaa..hawa ndo wanaume sasa..dah ngj niendelee
Pain is gone. Left us with a lot to learn.Daah hivi kwanini nilichelewa kuona huu uzi mapema,
pole mkuu Kuna watu mlijua maana ya kusota.
Pamoja.Aisee!! Nimesoma story kamili ila mkuu najiona sijaanza hata safari uliyopitia wewe. Nimempenda mzee wako bure aisee, MCHEKESHAJI ALIYE SERIOUS. Watu kama ninyi wamebaki wachache sana na hii ya kuitwa mahali kisha mwenyeji akazima simu naona imeshamiri sana. Lakini yote heri, maisha lazima yaendelee. BIG UP
Thats the spirit.Maisha ni safari,kuna mnaosafiri kwa ndege,wengine kwa miguu,ila wote tunaelekea sehemu moja. Usitishwe na umbali wa unakoenda,tiwa nguvu na ulikotoka,nia ndio kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
All is well chief.Huu utabaki kuwa uzi wangu namba moja humu jf wa pili ni ule wa bwana joohs na Mambo yake ya utajiri wa nguvu za giza
pata gambe kidogo mkuu[emoji481][emoji481][emoji481]
you're so perfect
Mara ya mwisho kukitumia lini mkuu,kule kwa yule mzee mama mtu mzima aliyekupa kvant wakati unauza mbao 😂😂😂
Mar
Mara ya mwisho kukitumia lini mkuu,kule kwa yule mzee mama mtu mzima aliyekupa kvant wakati unauza mbao [emoji23][emoji23][emoji23]
Analyse hebu tueleze mpaka sasa umefikia wapi..maana ulipndoka na baraka za wazaz kbs
Mshua ni jembe sana,na vipi mtoto shule kaanza au bado anakua kwa Babu?Sasa hivi mambo yanaenda fresh, Mungu anasaidia. Last week mama alipata malaria akawa amelazwa (hii ni mara ya pili analazwa sababu ya malaria ndani ya miezi 5). Alivyopataga malaria mara ya kwanza, ilibidi niwanunulie net mpya alaf niwakazie kuwa wawe wanaitumia. Sasa this time alipolazwa tena, ikabidi ni mpigie mshua tukaongea, alaf mwishoni nikamsisitiza wasiache kutumia net ili kuzuia mbu.
Mzee akaniambia "Umesisitiza mara mbili tu unaona nyiingi, wakati haya makunyanzi unayoona usoni mwangu nisababu ya kuwasisitiza nyie kipindi mnakua, unipigiage usiku kabla sijalala ili uhakikishe kama tumechomeka net"
Japo najua lazima wachomeke net, ila huwa nawapigiaga tu just to make a conversation before they sleep..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshua ni jembe sana,na vipi mtoto shule kaanza au bado anakua kwa Babu?