Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

Ndugu umepuyanga,suala la kikokotoo ni kaa la moto kwa watawala kwasabu mifuko ya hifadhi ya jamii imefanywa chanzo cha mapato ya serikali,ile percentage inayochangiwa na mwajiri ni geresha,we have to be realistic kwenye hii hoja,km ww ni mserikali ondoeni acheni geresha na ujanjaujanja.Siasa mingi wkt mnajua kiini cha tatizo
Upewe kazi afu uje kulalamika kikokotoo? Private sector Kuna mafao?

Hela zenyewe ni za Serikali
 
Mimi ni mwalimu ambaye niliajiriwa kipindi Cha kikwete lakini najuta kuajiriwa kipindi hicho maana kulikuwa na mfumuko wa bei kiasi kwamba mshahara wote uliishia kwenye mahitaji.mshahara ulikuwa mdogo sana yaani ilikuwa hakuna tofauti na jobless angalau kipindi Cha Magufuli mfumuko wa bei ulitulia na sisi walimu tukawa tunatembea vifua mbele maana mshahara ulitosha Kwa mahitani yetu.
 
Mimi ni mwalimu ambaye niliajiriwa kipindi Cha kikwete lakini najuta kuajiriwa kipindi hicho maana kulikuwa na mfumuko wa bei kiasi kwamba mshahara wote uliishia kwenye mahitaji.mshahara ulikuwa mdogo sana yaani ilikuwa hakuna tofauti na jobless angalau kipindi Cha Magufuli mfumuko wa bei ulitulia na sisi walimu tukawa tunatembea vifua mbele maana mshahara ulitosha Kwa mahitani yetu.
Unaropoka Kwa vile umepata kazi.
 
Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani

JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Kipimo cha Watanzania wengi hawana akili ndio hichi..mtoa mada hajui uanzishwaji wa shule za kata ilihitaji walimu wengi,mtoa mada hajui huanzishwaji wa vituo vingi vya afya na mahospitali vilihitaji watumishi wengi wa kada hiyo..Baada ya watumishi kujitosheleza unaaanza kuajiri tokana na uhitaji....
 
Miradi inakula Sana hela

Kama umewahi kujenga nyumba utaelewa kuwa ujenzi unatumia gharama kubwa Sana

Sasa jpm alizidiwa imbalance ikatokea.
Mwananchi wa kawaida haelewi kuwa ile miradi mikubwa kama JNHPP, SGR, Madaraja yanakula fedha nyingi sana ambazo huwa hatuna uwezo wa kuzipata. Walikuwa wakiambiwa fedha zetu za ndani na wao wanashangiria, sasa hapa ndiyo tumepatikana sote kwa pamoja.
 
Jambo lepesi kama hili si ungemuuliza tu shemeji hapo nyumbani akakupa majibu kama akili yako imeshindwa kukujibu.
 
Mtu alikaa miaka 10 na mwingine 5 kashajifia zake na bado wakipambanishwa hata na mtoto wa primary bado mwendazake atamfunika tu,
 
Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani

JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
JPM alikuwa na roho mbaya, pia alipeleka hela zote mahali alipokuwa anapata teni pasenti, mfano SGR na mengine kama bwawa la umeme.

JK aliona kuliko ajenge reli mpya wakati ya zamani ipo, akaamua aajiri, aliona kuliko nchi ikope kupata byanzo vya umeme, akatafuta wazungu na hela zao wakaja kuwekeza kwenye umeme wa gesi, bila nchi kutoa hata mia, stiglers tumekopa trilions, kwa hiyo madeni tele.

Alijenga daraja la kigongo busisi ili awakoge ukweni, kwa karibu trilioni
 
Kipi kizuri kwako, ufe ili upate maendeleo ukiwa hujulikani ulipo au uapate neema na uhakika wa kula halafu uinjoy marndeleo. By the way maendeleo ni kuwa na uhakika wa kuishi na kula kwa kupata kipato. Hilo jk alilijua vyema.
Kikubwa nchi ikae kwenye mstari,,,kuna haja gani kuachiwa kupata hio buku 10 wakati ukiminywa haki zako kuna mtu anatoa elfu 50 anakukandamiza,,,hapo bora wote tupate 0 hata likitokea jambo la kutumia haki wote mnamsikiliza pilato badala ya mwenye noti nyingi kupenyeza kitu....huo ni mfano mmoja tu..........JK kakuachia upate huyo swala ila wenzio wanabeba nyati na wala nyati wanakuja kuwanyanasa hao wala swala bora tuwe na njaa wote tuanze moja
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Maza ameajiri ni nini sasa? Magu aliua sekta binafsi
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Ni hivi. Kwa sababu ya ubovu wa CCM, kila uchao ni afadhali ya jana yake. Aliajiri (japo siyo wote kama unavyosema) kwa sababu tulikuwa hatujafikia saturation point ya sasa hivi. Kadiri siku zinavyoenda ndivyo ajira zitazidi kuwa ngumu. Je unakumbuka zile bajaji na boda boda za mwanzo mwanzo? Zilikuwa zinapata wateja wengi. Sasa hivi je? Wateja wamepungua kwa sababu zimekuwa nyingi, na hii hali inaendelea kuwa mbaya kila siku. Kwa hiyo tatizo ni CCM kutokuwa na planning. Nchi inatakiwa ijue miaka 10, 20, 30 ijayo kutakuwa na population kiasi gani, zitahitajika hospital ngapi na madaktari wangapi angalau kwa makadirio. Huwezi kukurupuka na kuanzisha vyuo feki vya udaktari na ukasalimika. Wahitamu ni lazima watakosa ajira na hata wakitaka kutoka nje ya nchi hawatakuwa na soko kwa sababu ni vilaza.
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
JMK
JPM


Mkuu huoni kama kunatofuti hapo.

Mzee wa kutabasamu ni MASTER
 
Maza ameajiri ni nini sasa? Magu aliua sekta binafsi
Hawa watu hawajui kuwa kadiri siku zinavyokwenda ndiyo nchi inavyozidi kuwa ngumu. Watu hawajui kuwa hata wanaopiga kelele sasa hivi wanaitakia nchi salama siku zijazo. CCM haina tena ujanja sasa hivi imebaki ku-hang up kama timu inayojihami dakika za mwisho isifungwe goli. Tatizo ni kuwa huu ''mpira'' wa CCM vs wananchi hauishi. Siku nchi itakapolipuka kwa fujo za watu kuchoka na maisha magumu kila mtu ataathirika na kujuta.
 
Back
Top Bottom