Najiandaa kuondoka nyumbani, nimeamua kwenda kupanga. Je, kuna ushauri?

Najiandaa kuondoka nyumbani, nimeamua kwenda kupanga. Je, kuna ushauri?

habari wadau

Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.

Napokea ushauri.
Miaka 32 umeoa, unakaa kwa wazazi?? Wewe mzima kichwani? Wapi mwanaume anaoa yuko kwa wazazi wake?
Hizi tamaduni za wazanzibar ziko na huko bara?
Ila kuna watu wa hovyo sana kuoa ukiwa na akili za kulelewa.
 
habari wadau

Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.

Napokea ushauri.
Wazazi wa Kitanzania tunachangia kuharibu maisha ya watoto.

Miaka 32 hupaswi kuishi Kwa wazazi, Mimi nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 21 tu na home kupo fresh.
 
Wazazi wa Kitanzania tunachangia kuharibu maisha ya watoto.

Miaka 32 hupaswi kuishi Kwa wazazi, Mimi nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 21 tu na home kupo fresh.
ni kweli ila kuna muda maisha yanatufanya tubaki kwa wazazi kutokana na aina ya ulezi but now nataka kufata maendeleo na ndoto zangu.
 
nimeoa ila bado sijazaa
20231025_200218.jpg
 
Miezi mitatu mbali, anza kuhama now ila usiondoke na mke wako kwanza. Mwache kwanza nyumbani ukishajipata kamchukue.

Kuna uzi unasema “ulianzaje kukaa ghetto “ utafute utakupa moja mbili za msingi
shukrani,thus is why am here now nahamisha akili baada ya mwezi au miezi ndiyo nahama mwenyewe.
 
Back
Top Bottom