Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Toka magetoni..
Kama asemavyo Chief Godlove na chimakeke.
Kama asemavyo Chief Godlove na chimakeke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okay nduguMshauri wako awe akili kukichwa🤔
kweli mkuu ila wale kwa maisha yao bado hawajasema ukweli nazani biashara zao zilikuwa ni ngaDAToka magetoni..
Kama asemavyo Chief Godlove na chimakeke.
duuuuuhUende wapi totoo?
Mbona bado mdogo ht kitovu hakijakauka vizuri tulia kwanza
Miaka 32 umeoa, unakaa kwa wazazi?? Wewe mzima kichwani? Wapi mwanaume anaoa yuko kwa wazazi wake?habari wadau
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.
hujatoa ushauri ila umetoa povu,bro calm downMiaka 32 umeoa, unakaa kwa wazazi?? Wewe mzima kichwani? Wapi mwanaume anaoa yuko kwa wazazi wake?
Hizi tamaduni za wazanzibar ziko na huko bara?
Ila kuna watu wa hovyo sana kuoa ukiwa na akili za kulelewa.
sifanyi mzahaKama hujafukuzwa baki
Wazazi wa Kitanzania tunachangia kuharibu maisha ya watoto.habari wadau
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.
ni kweli ila kuna muda maisha yanatufanya tubaki kwa wazazi kutokana na aina ya ulezi but now nataka kufata maendeleo na ndoto zangu.Wazazi wa Kitanzania tunachangia kuharibu maisha ya watoto.
Miaka 32 hupaswi kuishi Kwa wazazi, Mimi nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 21 tu na home kupo fresh.
nimeoa ila bado sijazaa
shukrani,thus is why am here now nahamisha akili baada ya mwezi au miezi ndiyo nahama mwenyewe.Miezi mitatu mbali, anza kuhama now ila usiondoke na mke wako kwanza. Mwache kwanza nyumbani ukishajipata kamchukue.
Kuna uzi unasema “ulianzaje kukaa ghetto “ utafute utakupa moja mbili za msingi
Mungu akufanyie wepesi.shukrani,thus is why am here now nahamisha akili baada ya mwezi au miezi ndiyo nahama mwenyewe.
Soo sipesho🤔
amiiini na kwako mdadaMungu akufanyie wepesi.
ndiyo nilichokiwaza hichoTafuta chumba hata cha elfu 25 mkuu uanzie maisha epuka expensive life.