Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Mpaka waone aibu wahame wao, au sio?kila la heri kaka ila mi nataman mzazi wangu angekuwa na nyumba mjini hapa ningekaa na nisingehama ngoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka waone aibu wahame wao, au sio?kila la heri kaka ila mi nataman mzazi wangu angekuwa na nyumba mjini hapa ningekaa na nisingehama ngoo
nyumba mjini uinadumaza ebu waangalie wazaramo na wandengerekokila la heri kaka ila mi nataman mzazi wangu angekuwa na nyumba mjini hapa ningekaa na nisingehama ngoo
alafu ndipo tunapoishi huko jiraniPitia hapa kwangu bonyokwa nikupe ndoo zimsaidie wifi kuchotea maji
Umeamua jambo jema Ingawa umechelewa sana,utafanikiwa maana ulikuwa kero kwa kubana nafasi home kila la kheri!habari wadau
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.
kabss yaani kwanini niteseke wakat wazazi washaweka miundombinu sawa🤣Mpaka waone aibu wahame wao, au sio?
Hili jamaa sijalisoma!!! Miaka 32 anajiita kijana??? Kwa akili hii wewe ni zeee! Pili unasema bado "hujazaa" duh?? Mwanaume anazaa? Au shoga nini? Ndoa yako changa!!!!! Mh??? £!£££@%×#£@&habari wadau
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.
Miaka 32 hata kitovu hakijapona vizuri[emoji1787]Mbona bado mdogo 32yr ? Acha haraka ya maisha una kaa kaa home at least 45 ndo utoke home
[emoji16]Miaka 32 hata kitovu hakijapona vizuri[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Kudadadeki. Mwamba kama Mwamba. Wanawake huwa wanakutana na vitu vya ajabu aisee!
kutokuaga n ngumu..ila ctawaambia nahamia wapChukua hii
Ukiondoka usiage unaenda kupanga..tafta kitu tofauti cha kuwaambia
Pili usiondoke n mke muache..nenda kakae hta miezi 6 ndy umchukue
Utanishukuru
Kupanga raha sana utakuw huru