Najiandaa kuondoka nyumbani, nimeamua kwenda kupanga. Je, kuna ushauri?

Najiandaa kuondoka nyumbani, nimeamua kwenda kupanga. Je, kuna ushauri?

habari wadau

Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.

Napokea ushauri.
Umeamua jambo jema Ingawa umechelewa sana,utafanikiwa maana ulikuwa kero kwa kubana nafasi home kila la kheri!
 
habari wadau

Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.

Napokea ushauri.
Hili jamaa sijalisoma!!! Miaka 32 anajiita kijana??? Kwa akili hii wewe ni zeee! Pili unasema bado "hujazaa" duh?? Mwanaume anazaa? Au shoga nini? Ndoa yako changa!!!!! Mh??? £!£££@%×#£@&
 
Kuondoka nyumbani ni kuanzia miaka 18 mpaka 45 na hapo kwenye 18 mpaka 44 unaweza ukapiga in and out yaan ukiona mambo magumu unapiga Backpass unarudisha mpira kwa kipa ukifikisha miaka 45 hapo inabidi uwe tayari umeshajiweza kabisa kwa unaweza hata ukafukuzwa kwenu ukaishi kwako kikubwa ujue kwenda kulishambulia Goli kwa kupita katikati au ujue kupiga V Pass kulenga Goli na usipende kushinda kwa kupitia winga ya kushoto au kulia mpaka kwenye kibendera ndio unapiga cross dongo ili ushinde Goli
 
Back
Top Bottom