Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
- Thread starter
- #61
haitosh nna kama lak 2Hiyo pesa ya kupanga kanunue kiwanja anza kujenga mdogo mdogo ukitoka home unaingia mjengoni kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haitosh nna kama lak 2Hiyo pesa ya kupanga kanunue kiwanja anza kujenga mdogo mdogo ukitoka home unaingia mjengoni kwako.
dah nimechekaMimi nakaa kwetu
Niende wapi na hapa ndio kwetu? Labda baba ndio atoke aende kwao.
Nina miaka 65
haha,aya bhnMbn mapema sana subir ufike 55 ndo ukapande mm hapa na 49 ndo kwanza naenda kucheza pool table nkimaliza napiga ugali wa shkamoo nalala
😂😂😂😂Aisee
Lengo la kwenda kupanga ni nini?habari wadau
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.
Mwanzo umeshauri vizuri, lakini mwisho umevurunda mkuu.Acha kuingia gharama zisizo na msingi wewe! Mimi nakushauri ubaki hapo hapo kwa wazazi wako. Siku ikitokea tu Mwenyezi Mungu kawapenda zaidi; hiyo nyumba inakuwa mali yako.
Kwisha habari yakoMe ntakuwa ka muarabu au mubindi kutoka nyumban no wazazi wataniachia hii nyumba kikubwa uwe na hela ya maisha tu nyumba sio ishu na mjin kikubwa uwe na pakulala tu me home sitok
ni dhamira yng toka nilvokuw na age ya 18Lengo la kwenda kupanga ni nini?
Hapo nyumbani kuna kero labda toka kwa ndugu ama wazazi wako unazipata?
Kwa nini malengo ya kujitegemea usiyakamilishe ukiwa hapo nyumbani?
Changamoto za kuishi 'mapangoni' unazielewa?
Maana ninavyoelewa na namna ulivyojitambua namna hii, malengo yako utayapeleka vizuri sana bila stress ukiwa unaishi hapo nyumbani, kuliko utavyoyapeleka ukiwa ghetoni.
Ama unafuata mikumbo inayosema mtoto wa kiume akizidi miaka 18 hautakiwi kuendelea kuishi home, au unapenda tu kwenda kufanya tafiti za changamoto za maghetoni?
Siioni faida kuliko hasara.
hapana natoa mwenyewHivi kumbe mtu anaweza kuoa na kumpa baba yake mke amlishe?
Kwenu hapo nyumbani, wewe ni mtoto wa kipekee kwa wazazi wako, yaani umezaliwa peke yako?Me ntakuwa ka muarabu au mubindi kutoka nyumban no wazazi wataniachia hii nyumba kikubwa uwe na hela ya maisha tu nyumba sio ishu na mjin kikubwa uwe na pakulala tu me home sitok
Takribiani nusu ya age hiyo ya miaka32, kwanini umeimaliza ukiwa unawaza jambo moja bila ya kufikia muafaka?ni dhamira yng toka nilvokuw na age ya 18
Hizi picha mnazitoaga wapi? 😃😃😃😃, njemba tako jeusii!
Ukikwaa kwenu means hata wewe unalishwa.., bila kujali unatoa pesa..hapana natoa mwenyew