Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Hapana sijazaliwa nayo
Dada hebu jibu vizuri hilo swali kwa kirefu, usijibu kwa kuchokachoka;
Specifically hilo tatizo la kubaki na kovu ukijikuna lilianza lini (miaka mingapi iliyopita?)
Kuna logic ktk swali hilo, kwamba km lilianzia ukubwani je ilikuwa ni ktk wakati ambao style yako ya maisha ulikuwa umeibadilisha? (km kuanza matumizi ya vipodozi tofautitofauti) n.k
 
Njia nyingine ya uhakika kwa wenye uhakika.

Amua kuokoka kweli kutoka moyoni, nenda kwenye kanisa la watu waliookoka KWELIKWELI kama T.A.G au E.A.G.T kisha wambie watumishi UNATAKA KUOKOKA, kisha watakuongoza kupokea wokovu.

NB: Si kila tatizo linaweza kutibiwa kwa dawa. Mengine yanasababishwa na nguvu za giza hivyo JINA LA YESU PEKEE LINAWEZA KUKUOKOA.

Kama kweli umeamua kuokoka kutoka moyoni, wambie wakuombee tatizo lako la ngozi, watakuombea utapona kama una imani kwamba Mungu anaweza pia kama umemaaishisha kumfata Mungu/kudumu katika wokovu mpaka mwisho wa maisha yako.

NB: Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Bali nenda kaokoke kwa kumfata Mungu bila kujali kama atakuponya au hatakuponya. Kwani Wokovu utakupeleka mbinguni. Pia Ukiokoka Mungu anaweza kukuponya magonjwa na matatizo yako yote.

Wokovu si dini, bali ni mabadiliko ya NAFSI yanayofanywa na Mungu kwa yeyote anayempokea Bwana Yesu ili amuokoe na dhambi na jehanamu ya moto.

Shida inakuja kwa cc binadamu tatizo la kiroho tunatibu kimwili na la kimwili tunatibu kiroho, nenda hospt kwa mabingwa wa magonjwa ya ngozi baada ya hapo fuata hatua nyingine japo kuokoka sio vibaya kama hujaokoka lakini tunalenga tatizo sio kuzunguka tatizo.
 
Mungu anaweza kuponya magonjwa. Mimi mwenywe niliponywa magonjwa mazito sana, pia nimeokoka. Hospitali zilishindwa lakini nilipomwamini Mungu aliniponya. Dada (mwenye ugonjwa) ukiwa na akili nzuri utagundua kwamba ushauri wangu haulengi kukupoteza kama mtu mwingine asiyemwelewa anavyoona.
 
Dada hebu jibu vizuri hilo swali kwa kirefu, usijibu kwa kuchokachoka;
Specifically hilo tatizo la kubaki na kovu ukijikuna lilianza lini (miaka mingapi iliyopita?)
Kuna logic ktk swali hilo, kwamba km lilianzia ukubwani je ilikuwa ni ktk wakati ambao style yako ya maisha ulikuwa umeibadilisha? (km kuanza matumizi ya vipodozi tofautitofauti) n.k
Sijachunguza vizuri kuanzia lini ila miaka 3 nyuma nilianza kunotice na sasa imekua severe,kuna sehem nilijikwaruza kidogo tu miaka 3 nyuma hadi leo huo mstari upo.
Halafu maisha yangu yote napaka vaseline
 
Njia nyingine ya uhakika kwa wenye uhakika.

Amua kuokoka kweli kutoka moyoni, nenda kwenye kanisa la watu waliookoka KWELIKWELI kama T.A.G au E.A.G.T kisha wambie watumishi UNATAKA KUOKOKA, kisha watakuongoza kupokea wokovu.

NB: Si kila tatizo linaweza kutibiwa kwa dawa. Mengine yanasababishwa na nguvu za giza hivyo JINA LA YESU PEKEE LINAWEZA KUKUOKOA.

Kama kweli umeamua kuokoka kutoka moyoni, wambie wakuombee tatizo lako la ngozi, watakuombea utapona kama una imani kwamba Mungu anaweza pia kama umemaaishisha kumfata Mungu/kudumu katika wokovu mpaka mwisho wa maisha yako.

NB: Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Bali nenda kaokoke kwa kumfata Mungu bila kujali kama atakuponya au hatakuponya. Kwani Wokovu utakupeleka mbinguni. Pia Ukiokoka Mungu anaweza kukuponya magonjwa na matatizo yako yote.

Wokovu si dini, bali ni mabadiliko ya NAFSI yanayofanywa na Mungu kwa yeyote anayempokea Bwana Yesu ili amuokoe na dhambi na jehanamu ya moto.
Kuokoka ni muhimu lakini ni uchanga wa kiroho,udini na upotoshaji kusema waliookoka wanapatikana kwenye baadhi ya madhehebu machache kama hayo uliyoyataja,Mungu hana mipaka ya kidhehebu pole.
 
Nenda kapime hosptal
Tatizo lako hujikubali kama ulivo ndo mana unajichukia jipende kwanza hata kama ukoje, afu ndo utapata wa kukupenda
 
Kuokoka ni muhimu lakini ni uchanga wa kiroho,udini na upotoshaji kusema waliookoka wanapatikana kwenye baadhi ya madhehebu machache kama hayo uliyoyataja,Mungu hana mipaka ya kidhehebu pole.
Nimetumia neno "kama" (like) si "only" kipindi nikielezea makanisa hayo. Ungekuwa mpagani isingekusumbua lakini ukiwa na dini, lazima udini ukutese
 
Njia nyingine ya uhakika kwa wenye uhakika.

Amua kuokoka kweli kutoka moyoni, nenda kwenye kanisa la watu waliookoka KWELIKWELI kama T.A.G au E.A.G.T kisha wambie watumishi UNATAKA KUOKOKA, kisha watakuongoza kupokea wokovu.

NB: Si kila tatizo linaweza kutibiwa kwa dawa. Mengine yanasababishwa na nguvu za giza hivyo JINA LA YESU PEKEE LINAWEZA KUKUOKOA.

Kama kweli umeamua kuokoka kutoka moyoni, wambie wakuombee tatizo lako la ngozi, watakuombea utapona kama una imani kwamba Mungu anaweza pia kama umemaaishisha kumfata Mungu/kudumu katika wokovu mpaka mwisho wa maisha yako.

NB: Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Bali nenda kaokoke kwa kumfata Mungu bila kujali kama atakuponya au hatakuponya. Kwani Wokovu utakupeleka mbinguni. Pia Ukiokoka Mungu anaweza kukuponya magonjwa na matatizo yako yote.

Wokovu si dini, bali ni mabadiliko ya NAFSI yanayofanywa na Mungu kwa yeyote anayempokea Bwana Yesu ili amuokoe na dhambi na jehanamu ya moto.
Wewe ni Professor wa nini ... ?!

Lakini wewe pia ni "mdini" ..., extremist ... !

Mungu hapewi masharti na wanadamu wala wakristo , au walokoke kuwa hamponyi MTU wake mpaka eti AOKOKE au akasali huko ulikotaja ... !

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" ...
 
Wewe ni Professor wa nini ... ?!

Lakini wewe pia ni "mdini" ..., extremist ... !

Mungu hapewi masharti na wanadamu wala wakristo , au walokoke kuwa hamponyi MTU wake mpaka eti AOKOKE au akasali huko ulikotaja ... !

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" ...
Siwezi kumfundisha kipofu kuchora.
 
Pole Sana Dada yangu... natumai utapata ufumbuzi wa tatizo lako

Mungu wetu ni mwema.
 
Back
Top Bottom