Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Mungu atakuponya mdada usijar,semah fanya kwenda kuchekiwa hospital nasio kutumia kila dawa unayoshauriwa,pengine izo dawa zinaongeza kasi ya tatizo lako.
 
Dada kama ujawahi kupima damu/ afya basi kesho nenda jibu utakalolipata ndo mwanzo kupata dawa. kuna MTU namjua yeye akiumwa na mbu au kujikuna basi hilo kovu halitoki milele, baada ya kupima tulipata jibu na amekubali hali hiyo anajistili kwa nguo ndefu.

na mbaya zaidi ni mweupe yaan magonjwa haya sikia kwa MTU. makovu ni madogo madogo mwili mzima yaan hayatoki. kuna kipindi aliishi dar akaanza kutumia cream na asali na lile joto cream ikamkubali kweli yalipungua kwa 90 % aliporudi mkoan yakarudi upya. hilo shape sasa alilo nalo wenye genye zao hawachoki kutuma maombi na hayajibiwi, kweli mungu hakupi vyote.
 
Nenda kawaome madaktari wa ngozi. Nna rafiki alikua hivyo sijui walifanyaje!
 
just focus on how to live alone for now and work hard on ur carrier.. jaribu kua smart sana na pia nenda kamwone dermatologist.. hta kama una makovu kiac gan naamin ukipata wa kukupnda hatajali sana instead atakua bega kwa bega na wew ktka kutafuta ufumbuzi...
 
Mamboz,jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo,wengi walijitokeza wakidhani natania labda,walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.

Kusema ukweli nipo kama nilivyosema,na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali,sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki,pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.

Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili,niko mpweke,sina hata mwenza.

Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini,naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa...

Wanawake wenzangu nisaidieni,kina baba,kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.

Bio oil nimejaribu haifanyi kazi,aloevera hua napaka sioni matokei,limao pia hakuna kitu.

Najisikia vibaya sana,mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu,why me?
Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.
Fanya water therapy, jaribu inaweza kukusaidia
 
Kuna professor Massawe,yuko posta,Ana clinic ya Ngozi..ni Dr mzuri sana sana..Ila ndo ujipange gharama zake,clinic yake iko mtaa wa samora,
 
Mamboz,jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo,wengi walijitokeza wakidhani natania labda,walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.

Kusema ukweli nipo kama nilivyosema,na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali,sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki,pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.

Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili,niko mpweke,sina hata mwenza.

Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini,naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa...

Wanawake wenzangu nisaidieni,kina baba,kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.

Bio oil nimejaribu haifanyi kazi,aloevera hua napaka sioni matokei,limao pia hakuna kitu.

Najisikia vibaya sana,mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu,why me?
Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.

Jaribu kutumia Miss white full package
 
Dada hilo ni tatizo dogo sana kwa MUNGU WA ELIYA (1 Falme 18:21-40), sasa ili upone hakikisha kila unapotoka kuoga jipake mafuta ya mzeituni siku zote na utaiona ngozi yako ikipona na kuwa nzuri kipita hata mwanzo au ulivyozaliwa.
Hayo mafuta usichanganye na kitu chochote.( Kutoka 30:26-31).
Kama una swali karibu!
 
Njia nyingine ya uhakika kwa wenye uhakika.

Amua kuokoka kweli kutoka moyoni, nenda kwenye kanisa la watu waliookoka KWELIKWELI kama T.A.G au E.A.G.T kisha wambie watumishi UNATAKA KUOKOKA, kisha watakuongoza kupokea wokovu.

NB: Si kila tatizo linaweza kutibiwa kwa dawa. Mengine yanasababishwa na nguvu za giza hivyo JINA LA YESU PEKEE LINAWEZA KUKUOKOA.

Kama kweli umeamua kuokoka kutoka moyoni, wambie wakuombee tatizo lako la ngozi, watakuombea utapona kama una imani kwamba Mungu anaweza pia kama umemaaishisha kumfata Mungu/kudumu katika wokovu mpaka mwisho wa maisha yako.

NB: Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Bali nenda kaokoke kwa kumfata Mungu bila kujali kama atakuponya au hatakuponya. Kwani Wokovu utakupeleka mbinguni. Pia Ukiokoka Mungu anaweza kukuponya magonjwa na matatizo yako yote.

Wokovu si dini, bali ni mabadiliko ya NAFSI yanayofanywa na Mungu kwa yeyote anayempokea Bwana Yesu ili amuokoe na dhambi na jehanamu ya moto.


Wokovu siyo dini mbona unamshauri aende TAG au EAGT, unajua anakosali leo? mbona hujamshauri aende kwa mch lusekelo? maana na yeye ameokoka na anahubiri wokovu, na kuponya watu kwa maombezi, ni kweli yesu anaponya akimukiri na kujitenga na uovu na kumtegemea yeye kwa kila jambo atapata faraja na huo uponyaji anaoutaka, yesu ni mwema.
 
Back
Top Bottom