Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Asee sie wangine mama alishatamka

Wanangu,yeyote.akithubutu kutoa mimba,Kama nimemzaa mimi,basi anaenda nayo

Asee
 
Fikiria mara mbili huo uamzi mom usije kesho ukajuta ukaona mara mia ya jana
NDIO kitu nachukiaga mimi kama unasoma maliza kwanza hayo mapenzi mtayakuta tu tunakwama wapi watoto wakike?[emoji34][emoji34][emoji34]
 
SIO ujajihisi ila huo ni uuaji NDIO uwe na bahati mbaya MTOTO MWENYE awe mmoja tu mbele utakuona kuchungu zaa tu utaendeleaga na masomo huwezi jui huyo MTOTO
 
Kwani ulipenda pesa zake kweli mbona kma umepanic? Itakuwa kweli
 
Hyo siri ulomwambia rafiki yako si bora ungemwambia mama yako pole sana maana hyo siyo siri tena but do it for your own risk
Tena nadhani huyo mwanaume hana shida yaani shida iko kwako hutaki kumsikiliza mwenzako yaani kwenye familia mkiwa wote wajuaji hamuezi kufika popote
 
Una roho ya kikatili sana wewe.

Yani mwenzako anaona ni mda sahihi mfanye maisha we unaona bado unahitaji kula bata.

Utaona madhara yqke badae
Ndo tatizo la watoto wa vyuo yaani yeye hapo haoni akimaliza chuo ndo akili humrudia
 
Tangazo..Tangazoo... Tangazooo..ninauza kijibwa kama cha Wema Sepenga..karibunii sanaa kwa wale mlioko single bila kusahau wale ambao menopause ishapiga hodi bila kupata mtoto
 
Ukienda kuitoa nawewe ufe tu huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnaoniombea mabaya nyie mngeweza ambae anazani uko nae kwa sababu ya pesa wakat sio kweli? Mkikorofishana kidogo iyo ndo inakua km silaha ya kukuumiza kisa tu mnatofautiana mitazamo
 
Nngemwambia mama asingekubali nitoe alafu asingekaa kimya angemwambia tu mwezangu. Yeye ajui km kuna matatizo kati yetu
 
Ukitoa unakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…