Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatetea?
Nakusihi sana usiitoe hip mimba, hicho kichanga wala hakina kosa lolote. Kihurumie nakusihi sana! Kuna mambo nikikumbuka najuta sana moyoni, usikubali kupata majuto yanguSipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.
Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.
Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.
Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Nilitamani kukutumia ujumbe PM kukusihi usifanye hivi bahati mbaya sana umefunga PM zako, anyway, usitoe hio mimbaSipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.
Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.
Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.
Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Nilitamani kukutumia ujumbe PM kukusihi usifanye hivi bahati mbaya sana umefunga PM zako, anyway, usitoe hio mimba
Nilitamani kukutumia ujumbe PM kukusihi usifanye hivi bahati mbaya sana umefunga PM zako, anyway, usitoe hio mimba
Yaani unatushirikisha tukuombee ufanikishe kutenda dhambi ya mauaji!! Daah! Hauko sawa. Unahitaji msaada wa haraka sana wa kiroho.Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Yaani unatushirikisha tukuombee ufanikishe kutenda dhambi ya mauaji!! Daah! Hauko sawa. Unahitaji msaada wa haraka sana wa kiroho.Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
ukitoa hiyo mimba hautakuja kuzee tena ukiolewa. nakushauri tu, hii msg utakuja kuikumbuka. wengi wamefanya hivyo wakaishia majuto.Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.
Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.
Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.
Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Wewe ndo utakuwa mwehu zaidi. Kwanini unatetea utoaji mimba? Jambo ambalo ni kosa kwa sheria za Tanzania, sembuse kiimani? Kiimani ni dhambi.Wewe ni mwehu na huelewi nimeandika nini, Kuua ni kutoa uhai wa kiumbe chenye "Independent life"---- ukisitisha maidha ya mtoto baada ya kumzaa hapo ndipo utakuwa UMEUA.
Mimba inapokuwa tumboni inakuwa ni sehemu ya mwili wa mbeba mimba na hapo ukiitoa sio MAUAJI hayo ni sawa na kuondoa kiungo chochote cha mwili wako, mimba inapata virutubisho kupitia Umbrical code?? ya mama, kila anachokula mama sehemu inakwenda kwenye mimba hii ni sawa na kila unachokula kinakwenda kwenye viungo mbalimbali vya mwili hivyo utaona mimba wakati huo inakuwa ni part ya mwili wa mbebaji.
Ni sahihi kwamba mimba ya binadamu inayoheshima kuliko mimba za viumbe wengine kutokana na hadhi ya binadamu, kwa msingi huo ni lazima mimba ya binadamu ipate heshima na taadhima kubwa, ila ugomvi uliopo ni huo uvumi uliozagaa kwamba kutoa mimba ni sawa na mauaji, kutoa mimba bila sababu za msingi ni kosa hata mbele za Mungu lakini sio kosa la mauaji na kama kuna andiko la kidini lileteni hapa kwa wakristo au Waisilamu au Mungu hakujua kwamba watu watafanya "mauaji ya kutoa mimba"???!!.
Kuhusu mimi kuzaliwa; hivi wewe mjinga kama mimi ningetolewa nilipokuwa mimba ningekuwa touched ni kitu gani wakati huo, au ninge feel nini???, wewe umesoma Biology ??---- mimba yako ilipotungwa wenzako (sperms) wako wapi???--- what did they feel at that moment in time???--- unatakiwa uhoji maswali ya akili na sio mihemuko ya mitaani kama Wale wanaovumisha na ikaaminika kuwa nyongo ya mamba ni sumu.
Watu tunasota miaka yaani hata ya bahati mbaya,asee......[emoji120]Nawiwa kukuambia hiki, Ungekua kwenye nafasi ya watu ambao Wana Zaidi ya Miaka 10 wanatafuta hata tu kupokea majibu wameshika mimba, lakini haijatokea. Maisha yetu ni mafupi sana, huwezi jua inawezekana Huo ndio ujauzito pekee Maisha yako duniani. Leo ni aibu, kutokua tayari n.k ukiweza kushinda na kukubaliana kupata lawama, aibu n.k Huwezi Jua kesho inaweza kuwa faraja yako. Mungu Akusaidia kuamua
Wewe ndo utakuwa mwehu zaidi. Kwanini unatetea utoaji mimba? Jambo ambalo ni kosa kwa sheria za Tanzania, sembuse kiimani? Imani zote kuu za zilizopo Tanzania za Uislamu na Ukristo, kutoa mimba ni dhambi.Wewe ni mwehu na huelewi nimeandika nini, Kuua ni kutoa uhai wa kiumbe chenye "Independent life"---- ukisitisha maidha ya mtoto baada ya kumzaa hapo ndipo utakuwa UMEUA.
Mimba inapokuwa tumboni inakuwa ni sehemu ya mwili wa mbeba mimba na hapo ukiitoa sio MAUAJI hayo ni sawa na kuondoa kiungo chochote cha mwili wako, mimba inapata virutubisho kupitia Umbrical code?? ya mama, kila anachokula mama sehemu inakwenda kwenye mimba hii ni sawa na kila unachokula kinakwenda kwenye viungo mbalimbali vya mwili hivyo utaona mimba wakati huo inakuwa ni part ya mwili wa mbebaji.
Ni sahihi kwamba mimba ya binadamu inayoheshima kuliko mimba za viumbe wengine kutokana na hadhi ya binadamu, kwa msingi huo ni lazima mimba ya binadamu ipate heshima na taadhima kubwa, ila ugomvi uliopo ni huo uvumi uliozagaa kwamba kutoa mimba ni sawa na mauaji, kutoa mimba bila sababu za msingi ni kosa hata mbele za Mungu lakini sio kosa la mauaji na kama kuna andiko la kidini lileteni hapa kwa wakristo au Waisilamu au Mungu hakujua kwamba watu watafanya "mauaji ya kutoa mimba"???!!.
Kuhusu mimi kuzaliwa; hivi wewe mjinga kama mimi ningetolewa nilipokuwa mimba ningekuwa touched ni kitu gani wakati huo, au ninge feel nini???, wewe umesoma Biology ??---- mimba yako ilipotungwa wenzako (sperms) wako wapi???--- what did they feel at that moment in time???--- unatakiwa uhoji maswali ya akili na sio mihemuko ya mitaani kama Wale wanaovumisha na ikaaminika kuwa nyongo ya mamba ni sumu.
wengi waliotoa mimba huwa hawaji kuzaa wakija kuolewa, ni laana hiyo. angalia usije kuja kuikumbuka hii msg when its too late.Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.
Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.
Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.
Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Hao wanawake nao hawajielewi[emoji41]Nilikuwa nalaani sana mwanamke anayetoa mimba nikaona ni kama shetani nikamchukia mwanamke anayetoa mimba,
LOL NIKAJA KUJUA KUWA SIO KILA MTOA MIMBA ANATOA TU KIMAZOEA BAADA YA KUWAPA WANAWAKE WAWILI MIMBA NA WOTE SIKUWA NA MALENGO NAO. LOL ROHO YA KUTOA IKANIINGIA NIKAZITOA ZOTE
kumbe sio kila mtoaji anakuwa anatoa kwa kupenda
Hiiii yaani unaenda kutoa ka president, minister,actor, presenter na ka bilionea fulani hivi Harafu baadae uzae ka Hamza hiiiiSipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.
Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.
Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.
Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa