Aaahhh unajua mkuuu watu hawana maana , sijui wapendwe wao..sijui vipi.
Bidada kaamua kutoa moyon, aya haijulikan kama tutakua pamoja au lah...
Lkn wanafiki wao wanataka mpaka waende mbele ya hitimisho[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ndio namm nikiandika in return kua " mama nakupenda pia" sindo sasa watu mapovu yatakua km ya Omo ???
Sijui wanataka niseme " asante ninamtu " ili sasa wamfate PM waanze kuzuga wanampa pole ili wampate ????
Watu ni wajinga kweli kweli[emoji23][emoji23]
Dada naomba upitie popcorn hapo kwa muhaHahahaaaa. Jf idumu jamaani lol.
Haaa haaa But kiukweli naomba mbadilike.Sio vizuri.Kwa sababu umesusa kunitongoza basi nakuja pm kukutongoza wewe!
Umejiunga lin JF mpaka hujui V putin nimtu wa aina gani ?? .Sasa mbona uyu vilad ndo amekuja juu kwenye uzi kuliko mtoa mada, kama ni kweli haina haja ya kutuaminisha..we jiamini kama mwanaume na sio kuwaya waya hapa
Nenda pm kimyakimya mkayajenge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeUmejiunga lin JF mpaka hujui V putin nimtu wa aina gani ?? .
Mimi nakawaida ya kutokaa kimya ili hali naona mtu asokua namakosa akidhihakiwa ..NOOOO MKUU .
ndomaana unaona nimebeba jukumu la kumsimamia Bidada....
Nawafananisha na MGUMBA AKIPATA MIMBA, lazima mtaa mzima ujae mate.... tehteehhhMKUUU UMEPIGILIA MSUMARI WA NGUVU NA WAMOTO.
YAAAN NAMM NAENDELEA KUONA MAAJABU ,YAWANAUME KUONEANA WIVU ..
Kazi kwelikweli Mkuu
hapa ndo nimefika kabisa, nilikumis sana jamanOk.
Karibu sana tuendelee kujumuika hapa tena
hahahhahahahaNawafananisha na MGUMBA AKIPATA MIMBA, lazima mtaa mzima ujae mate.... tehteehhh
Hapa tulimisiana wote kwa pamoja, maana baada ya jamvi kufungwa nilitamani ningekuwa na mawasiliano ya kawaida ya baadhi ya watu.hapa ndo nimefika kabisa, nilikumis sana jaman
vp kile kijiwe chetu bado kinaendelea?
teh teh
Hahahaha kwakweli aiseeeeNawafananisha na MGUMBA AKIPATA MIMBA, lazima mtaa mzima ujae mate.... tehteehhh
mimi sijaenda kabisa, hope kuna wanaonikumbuka kuleHapa tulimisiana wote kwa pamoja, maana baada ya jamvi kufungwa nilitamani ningekuwa na mawasiliano ya kawaida ya baadhi ya watu.
Kijiwe kipo ila mahudhurio ndio sina uhakika kama yanakidhi. Mimi nimekuwa mtoro sana huko tangu jamvi lirejeshwe.
Sawa, ukifika huko uwasalimie piamimi sijaenda kabisa, hope kuna wanaonikumbuka kule
nitajitahidi nisalimie huko one day.
mimi pia nilitaman ningekuwa na namba za baadhi ya marafiki zangu
teh teh, jf imenifanya kuwa addicted
Hivi unawezaje kumpenda mtu ambaye hujawahi hata kumuona siku moja, hujui yukoje, anafananaje,?? Wewe umejiunga hapa JF mwezi wa 5 mwaka huu 2018 na sasa ni miezi 2 tu imepita tayari unampenda member mwenzio??Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.
Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .
Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
Hii kapo nimetokea kuikubali kinyama aiseeeee..... Nakushauri ukaze na jitahidi uchangamke sana kabla haujabinuliwa.Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.
Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .
Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
Hahahaaaa. Karibu aiseeee.Asante..nakuja pande hizo pia haha
Hahahahah umenichekesha sana mahondaw yaaan kwakweli wachawi niwengi nasilazma aroge
Alafu chek, kuna watu ukienda ktk post zao, wananyuz kibao wameandikia wapenzi ,au wameandikiwa...lkn hutokuta mtu anaitwa V.Putin katia neno ...... Sasa bwana bwanaaaa aandikiwe Putin hahahahhaahha kaaaazi.
Wachawi niwengi alafu wachawi wote wana Wivu balaaaa ...wanatakaga wao tu lkn wengine hapana[emoji23][emoji23][emoji23].
Namm nawambie, ukijihiso unampenda mtu mwambie ,yann ujipe shida ? Mwambie basi subiri matokeo.