Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Aaahhh unajua mkuuu watu hawana maana , sijui wapendwe wao..sijui vipi.
Bidada kaamua kutoa moyon, aya haijulikan kama tutakua pamoja au lah...
Lkn wanafiki wao wanataka mpaka waende mbele ya hitimisho[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ndio namm nikiandika in return kua " mama nakupenda pia" sindo sasa watu mapovu yatakua km ya Omo ???
Sijui wanataka niseme " asante ninamtu " ili sasa wamfate PM waanze kuzuga wanampa pole ili wampate ????
Watu ni wajinga kweli kweli[emoji23][emoji23]
Dunia hadaa walimwengu mashujaa... kaza moyo... mapambano daima, misimamo kama Che Guevara
Cc: mahondaw