Najihisi kumpenda mwanaume huyu wa JF Vladimirovich Putin

Najihisi kumpenda mwanaume huyu wa JF Vladimirovich Putin

Status
Not open for further replies.
Aaahhh unajua mkuuu watu hawana maana , sijui wapendwe wao..sijui vipi.

Bidada kaamua kutoa moyon, aya haijulikan kama tutakua pamoja au lah...

Lkn wanafiki wao wanataka mpaka waende mbele ya hitimisho[emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa ndio namm nikiandika in return kua " mama nakupenda pia" sindo sasa watu mapovu yatakua km ya Omo ???

Sijui wanataka niseme " asante ninamtu " ili sasa wamfate PM waanze kuzuga wanampa pole ili wampate ????


Watu ni wajinga kweli kweli[emoji23][emoji23]

Dunia hadaa walimwengu mashujaa... kaza moyo... mapambano daima, misimamo kama Che Guevara


Cc: mahondaw
 
Sasa mbona uyu vilad ndo amekuja juu kwenye uzi kuliko mtoa mada, kama ni kweli haina haja ya kutuaminisha..we jiamini kama mwanaume na sio kuwaya waya hapa



Nenda pm kimyakimya mkayajenge
Umejiunga lin JF mpaka hujui V putin nimtu wa aina gani ?? .

Mimi nakawaida ya kutokaa kimya ili hali naona mtu asokua namakosa akidhihakiwa ..NOOOO MKUU .

ndomaana unaona nimebeba jukumu la kumsimamia Bidada....
 
Umejiunga lin JF mpaka hujui V putin nimtu wa aina gani ?? .

Mimi nakawaida ya kutokaa kimya ili hali naona mtu asokua namakosa akidhihakiwa ..NOOOO MKUU .

ndomaana unaona nimebeba jukumu la kumsimamia Bidada....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asee
 
hapa ndo nimefika kabisa, nilikumis sana jaman
vp kile kijiwe chetu bado kinaendelea?
teh teh
Hapa tulimisiana wote kwa pamoja, maana baada ya jamvi kufungwa nilitamani ningekuwa na mawasiliano ya kawaida ya baadhi ya watu.

Kijiwe kipo ila mahudhurio ndio sina uhakika kama yanakidhi. Mimi nimekuwa mtoro sana huko tangu jamvi lirejeshwe.
 
Hapa tulimisiana wote kwa pamoja, maana baada ya jamvi kufungwa nilitamani ningekuwa na mawasiliano ya kawaida ya baadhi ya watu.

Kijiwe kipo ila mahudhurio ndio sina uhakika kama yanakidhi. Mimi nimekuwa mtoro sana huko tangu jamvi lirejeshwe.
mimi sijaenda kabisa, hope kuna wanaonikumbuka kule
nitajitahidi nisalimie huko one day.

mimi pia nilitaman ningekuwa na namba za baadhi ya marafiki zangu

teh teh, jf imenifanya kuwa addicted
 
Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.

Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .

Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
Hivi unawezaje kumpenda mtu ambaye hujawahi hata kumuona siku moja, hujui yukoje, anafananaje,?? Wewe umejiunga hapa JF mwezi wa 5 mwaka huu 2018 na sasa ni miezi 2 tu imepita tayari unampenda member mwenzio??
Anyways, tunaoelewa maana ya neno "nakupenda" tunakataa huko siyo kupenda mkuu African princess huko ni "kutamani". Sema umemtamani Vladimirovich Putin na siyo umempenda. Kupenda ni dhana moja pana sana.

 
Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.

Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .

Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
Hii kapo nimetokea kuikubali kinyama aiseeeee..... Nakushauri ukaze na jitahidi uchangamke sana kabla haujabinuliwa.
Hata wenzio walianza kamahivi, ingawa wengi ninao wajua humu waliandikiwa threads za kufa kukuoza na wanaume ambao walikua wanaelekea kuzikwa kwasababu ya mahabat walokua nayo juu ya wadada wale.
Binafsi nakupa hongera na pongezi zote, kwa kukataa kuidhulumu nafsi....
 
Hahahahah umenichekesha sana mahondaw yaaan kwakweli wachawi niwengi nasilazma aroge


Alafu chek, kuna watu ukienda ktk post zao, wananyuz kibao wameandikia wapenzi ,au wameandikiwa...lkn hutokuta mtu anaitwa V.Putin katia neno ...... Sasa bwana bwanaaaa aandikiwe Putin hahahahhaahha kaaaazi.

Wachawi niwengi alafu wachawi wote wana Wivu balaaaa ...wanatakaga wao tu lkn wengine hapana[emoji23][emoji23][emoji23].


Namm nawambie, ukijihiso unampenda mtu mwambie ,yann ujipe shida ? Mwambie basi subiri matokeo.

hakika wanapata tabu sana


Cc Smart911
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom