Huyu putin sijui ni mwanaume gani tu?
yani unaongea sana ,,,unawezaje kujibishana na mtoto wa kike kidume kizima
Mwanaume kamili toa maneno machache ya unachokiamini na usilazimishe mtu akuamini acha nao jiamini wewe kama wewe
Usemacho nikweli, ila kua makini sana na mfatiliaji wa kila jambo linalokuja kukuhusu ww.
Kwasababu ya kupuuzia mambo , watu wwngi wamepoteza sifa ya kuaminiwa tena.
Masuala yotote yaliyo yauongo juu yako, ukiyaacha yatakuja kukuharibia sana.
Hitler anasema " Tengeneza uongo mdogo , ufanye kua mkubwa, ufanye kua mwepesi ili uaminiwe kisha utashinda" ...hii inamaana gani ?? .
Ningumu kuaminiwa ikiwajamii yako imwshaminishwa kua ww uko ivi.
Ili unielew zaidi mkuu,, Humu JF nikikutana namtu nakutana naye akijua Putin niyule yule ninaywmjua JF , sasa nikuulize, ikiwa Putin humu ndan akijulikana kwa ambavyo watu wanashabikia, kunahata mmoja atakayeniamin ?? .
Ndio maana unaona , natumia nguvu ,kwaajili yakuhakikisha huyu mmoja aliyeniamin, asikwazikwe nawala asipoteze imani iyo.