Najihisi nina bahati mbaya!

sijawahi mpa chochote ila anamuagiza rafiki ake ambaye tumepanga nyumba moja
 
Mimi sjawah pendwa na wenye mimba ila mimi ndo huwa nawatongoza na nimeshakuwa nao kama wanne hv ni wazuri mno kwa matumiz tena mara nyingi napendeleaga vile vidogo dogo ila sjawah kuwa na mke wa mtu

Mke wa mtu ni wa kuogopa sana hasa akikutaka yeye ni bora wewe ndo uanze kumtaka
 
sijawahi mpa chochote ila anamuagiza rafiki ake ambaye tumepanga nyumba moja
Kuna bro wangu mmoja nilikuaga namfataga nikiwa na maswali kama hayo, akanishauri kama ivo, nami nikamjibu kama ulivojibu apo. Akaniangalia kisha akaniambia,
Kwaiyo?
Acha ujinga mdogo wangu, we kama unapiga piga na kama hauna mpango achana nayo fanya mambo ya maana.
 
Najihisi nina bahati mbaya
maana hili jambo limenitokea mara tatu,imefika mara ya tatu kupendwa na wadada wenye mimba tena kimapenzi,hata sielewi kwanini inajirudia.sielewi ni mkosi au nini,halafu kibaya zaidi wote ni wake za watu dah!!
Daah shetan mbaya kwel kwel
Kwa hyo ANATAKA UKAUPONZE
Wakat we mwenywe umejilinda kuanzia utotoni
 
kweli mkuu, naona tu nihame na mtaa wenyewe
 
kwaiyo unapenda kuchimba za wenye vibend
hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…