Najikuta kwenye mahusiano na mwanamke ambaye ana pacha wake

Najikuta kwenye mahusiano na mwanamke ambaye ana pacha wake

Mazima1

Member
Joined
Dec 31, 2020
Posts
46
Reaction score
90
Habari wakuu, niliwahi kuuliza hili swali kipindi fulani ila sikupatw majibu hivyo nalirudisha tena kwenu wana JF.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mara kadhaa nimekuwa nikiingia kwenye mahusiano na hawa dada zetu lakini baada ya muda nakuja kugundua kuwa huyo mtu niliyenaye kwenye mahusiano ana pacha wake(TWIN) au nikimtongoza mdada ambaye ni pacha anakuwa mwepesi kunikubalia au unakuta mdada ambaye ni pacha ananitaka kimahusiano

Sasa huwa najiuliza je hili suala lina maana gani spritually?

Wataalamu wa haya mambo nijuzeni.

Naamini humu kuna wajuzi wa mambo mnaweza kunielekeza vizuri kuhusu hili suala.
 
Wewe unawafatilia sana ukiona mahala kuna mapacha ndio maana unawapata.

Kwani imekutokea mara ngapi?
 
Halafu unapita nilikopita bila kinga. Kijana unadhani Mungu mjomba wako?? Shat wain wewe! Utapotezwa Mazima1
 
mh! watu kwa kujisumbua we si ule usepe kama unasepa ama kama hausepi oa!.
 
Mbona wewe peke yako ndo umeuliza hivi?,kwanini wengine hawajauliza swali kama lako?
Ndo unatakiwa uamini kua inawezekana ikatokea pia umedate na mtu ambae ana pacha. Imani izo nyingine achana nazo. #coincedence
 
Back
Top Bottom