Najilaumu sana kutokuchukua masomo ya Science, hasa Physics na Chemistry

Najilaumu sana kutokuchukua masomo ya Science, hasa Physics na Chemistry

Nimesoma uchumi ila siwezi sema niko deep sana kwa hesabu maana ilikuwa inanotoa jasho.
Lakini hata kabla ya kuanza kujifunza programming nlianza kudevelop formulas za kwenye excel kwa kutumia macros.
Now naenjoy kuapply hayo hayo kwenye programming japo kuna muda napata changamoto. Kuna module moja nilitaka itengeneza ikanitoa jasho coz ya hesabu ila ntaorudia mwezi huu nlikuwa busy sana.
Umeona eeh!! Kuna vi algorithm vinahitaj mathematical thinking sana.. ila hata hesbu ya uchumi inatosha maana si umesoma Basic applied mathematics..inatosha sana
 
Physics ya TZ !
Huwezi unda chochote labda uwe una unga unga small gadgets. Wengi hutumia physics kuhamia sekta nyingine hasa graduate wa BSC in physic.
Elon musk kwa kutumia phycs na kusoma vitabu ameweza kuuunda vitu vingi si bongo.
Physics ndio baba wa cutting edge technology kama ulivyobainisha ila sio kwa Africa .
Hilo somo linaendeshwa kisanii sanii tu barani Africa.
Imagine mpaka leo huwezi kukuta oscilloscope mashule mengi, science kit za kileo hakuna.
University -wanafundisha practical zilizopitwa na wakati nadhani alifanyaga Newton yaani irrelevant na dunia ya leo.
University X mada za muhimu sana wameziweka option.
Mfano solid state physics, material science, astrophysics nk.
Wenzetu nje wameanzisha Engineeering physics sisi bado tuna natural physics.
Wanafizikia wa ulaya wanahangaika kuunda Quantum computer, sisi hapa hata classicsl computer bado.
Mwanafizikia wa TZ hawezi kudizaini adv chip labda ujitese mara 1000 zaidi.

Sio kwamba nakukatisha tamaa ila TZ kutoboa fizikia ufanye kazi ya ziada maana unamaliza ukiwa shallow practicallly ila unaweza kuwa na GPA kubwa ya throry.
Science inahitaji uwekezaji mkubwa wa akili na mali, hapa Tz bado hatuwezi hayo madude
 
No, huwatendei haki watoto hao.
ni watoto wangu ujue, mimi nimeshaishi maisha mengi na nimejua nani anapata shida akisoma masomo yepi. sitaeleza sana hapa kwasababu nitakatisha watu tamaa. ial hivyo ndio nilivyoamua. kwangu sihitaji ile mtoto anasema sijui nataka kuwa daktari, nataka kuwa rubani..nooo. though nawaacha wao wenyewe akili yao itakapodondoka ila wala siwezi kuwasapoti wasome sayansi.
 
Umeona eeh!! Kuna vi algorithm vinahitaj mathematical thinking sana.. ila hata hesbu ya uchumi inatosha maana si umesoma Basic applied mathematics..inatosha sana
Ila mimi si mzuri sana katika hesabu hata huko ilinitoa jasho hata nashangaa nilitoboa vipi. Sema shukrani kwa mkurya fulani bwana wambura alikuwa ananipga pindi la hesabu balaa.
 
Science inahitaji uwekezaji mkubwa wa akili na mali, hapa Tz bado hatuwezi hayo madude
Tunaweza vizuri tuuu..ila ndio hivyo walioshika dhaman ya elimu wameamua kupuuza.

Nut infavt hiv vitu sio vigumu wala sio vya ajabu hata kidogo. Ni mazingira tu kama ulivyosema
 
Umeona eeh!! Kuna vi algorithm vinahitaj mathematical thinking sana.. ila hata hesbu ya uchumi inatosha maana si umesoma Basic applied mathematics..inatosha sana
Nitajifunza programming taratibu na mimi nifurahie application ya hesabu..😃😃
 
Ila mimi si mzuri sana katika hesabu hata huko ilinitoa jasho hata nashangaa nilitoboa vipi. Sema shukrani kwa mkurya fulani bwana wambura alikuwa ananipga pindi la hesabu balaa.
Hiyo hiyo inatosha kadir umavyo zamia kwenye coding unajikita unazoea tu.
 
Nitajifunza programming taratibu na mimi nifurahie application ya hesabu..😃😃
It is very interesting chief. Programming is really gud. Tena wala usi complicate madude makuuubwa...just with such simple algorthms.
 
Nitajie basi hata 'hints' nyepesi za kuanzia ...
Sawa mkuu am going to do that. U only need time hilo ndio angalizo kubwa.Anagalu 1 hour everyday kwa kuanzia 😅😅 ikishakukolea ndio yale utajikuta hulali kujua imekuaaje.. everytime akil inakimbia kimbia bush thinking 😂😂
 
It is very interesting chief. Programming is really gud. Tena wala usi complicate madude makuuubwa...just with such simple algorthms.
Ajabu mimi nlienda verse versa.... Nlianza na python, nikaja php.
Nlijaribu kuanza na c++ lakini sikuwa naelewa mpaka nafikia concept ya objective oriented sikuwa naelewa kitu kabisa.
Ila niliposoma python nikaelewa.
Kuna siku nimepitia c++ nikawa ninaelewa kwa concepts zile zile za pythonza classes na objects nikawa naelewa
 
Science inahitaji uwekezaji mkubwa wa akili na mali, hapa Tz bado hatuwezi hayo madude
Nchi kama Singapore wamewezaje sisi tushindwe ?
Tukiamua tunaweza. Halafu return yake ni ya haraka sana, mfano Iran kwa muda mfupi tu wamewejeza na sasa wanaunda vitu vingi wao wenyewe na vingine wanauza nje ya nchi.
Mifano ni mingi sana.
 
Ajabu mimi nlienda verse versa.... Nlianza na python, nikaja php.
Nlijaribu kuanza na c++ lakini sikuwa naelewa mpaka nafikia concept ya objective oriented sikuwa naelewa kitu kabisa.
Ila niliposoma python nikaelewa.
Kuna siku nimepitia c++ nikawa ninaelewa kwa concepts zile zile za pythonza classes na objects nikawa naelewa
Pole na hongera 😂. Ndio changamoto ya self learning.

ila ungeanza kwenye C hapo mambo ungeona rahis sana. Huyu ndio mama lao anakupa foundation nzur sana kias kwamba ukija kugusa C++ Au Java au Php baa inakua rahis sana.

Pia ukii master vizuri PROCEDURAL style of programming bas ukija kwenye OOP unakua hupat tabu sana. Hii ni kwa mtazamo wa sisi old school programmers maana kwa sasa naona vijana wanatumia zaid FRAMEWORKS most of which zinakklazimisha kuingia moja kwa moja ku utilize Object Oriented style of Programming. Ni nzuri japo kwasisi wa kizaman mfano mimi sio mtumiaji kabisaaaa wa Frameworks..situmii kabisaaa
 
Mimi nishawaambia vijana wangu kusoma hesabu mpaka Advance hio sio option. Ni lazimaaa. Sioma mchepuo wowote ule ila hesbu lazima iwepo. Kama kuna Arts yenye Mathematics wala sina tabu na wewe soma tu mwanangu. Hil tumekubaliana na nawa support haswaa
Wakitoboa wata enjoy life hili la Science
 
Kama kichwa si chenyewe lazima ujute
Hajuti kwa kutofaulu bali kwa kutumia muda vibaya. Unasoma vitu hamna pa ku apply professionally. Hata competency yenyewe haiwi kyk viwango vya kimstaifa ndoo maana hakuna mwanafizikia ana tech start up company. Wenzetu hadi dtop out anaweza anzisha kampuni za kiteknolojua.
 
Pole na hongera 😂. Ndio changamoto ya self learning.

ila ungeanza kwenye C hapo mambo ungeona rahis sana. Huyu ndio mama lao anakupa foundation nzur sana kias kwamba ukija kugusa C++ Au Java au Php baa inakua rahis sana.

Pia ukii master vizuri PROCEDURAL style of programming bas ukija kwenye OOP unakua hupat tabu sana. Hii ni kwa mtazamo wa sisi old school programmers maana kwa sasa naona vijana wanatumia zaid FRAMEWORKS most of which zinakklazimisha kuingia moja kwa moja ku utilize Object Oriented style of Programming. Ni nzuri japo kwasisi wa kizaman mfano mimi sio mtumiaji kabisaaaa wa Frameworks..situmii kabisaaa
Yes now mwendo wa framework sana kwenye kila kitu. Sema old school ni bora zaidi
 
Wakitoboa wata enjoy life hili la Science
Kibongo bongo not promissing kivile ila tu naipenda hesabu kwakua inafanya kichwa kinakua chepesi sana na hasa kama wataamua kundive kwenye IT world ambao ndio mpango mzima kwa dunia ya sasa...technology with mathematics vinaenda sambamba sana
 
Back
Top Bottom