Najiona maisha Yangu yakikosa nuru kabisa na kuelekea ukingoni

Mimi nilishasema, achaneni na wanawake hawa wa jf. Humu tushauriane. Yalinikuta mm, ila sio ya magonjwa. Mazoea maazoea haya. Achaneni nayo. Mimi kitambo kidogo ndio mgeni humu. Achaneni ndio maana wengi tunatumia ghost id's. Tushauriane tu humu. Wanawake wa jf,. Piga chini.
 
Naomba nihitimishe kwa kusema kwamba; hii story yako ni ya kupika. Na hivyo haina ukweli wowote ule.✍️
 
Vijana wengi tamaa zinawamaliza sana ndio mana magonjwa ya gono hayawezi kuisha, kingine vijana tatizo kubwa ni kushindwa kuzuia tamaa ilo ni tatizo kubwa sana, alafu ulishindwa kutafuta PEP mana ulipoisi mambo si mambo ungetafuta hizo dawa ninaamini ungejikinga vzur tu
 
Sio humu Jf tuu hata mitandao mingine….
 
Hizi stage huwa tunazipitia sana.

We Wala usiwaze.

Ila acha Ufala TUMIA KONDOMU mzee acha mambo ya kijinga.

Hata huyo demu wako tumia KONDOMU. Unless muwe mnapima mara kwa mara..

Siku hizi magonjwa ya Aibu Yako kibao.
 
Sio humu Jf tuu hata mitandao mingine….
Nimekwambia jf, hayo ya mitandao mengine siyajui, nimesema jf, maana huu mtandao una wafuasi milioni plus, ila kuingia kumi na nane kuna wanawake 50 tu ambao unaweza kuchat nao na wako active ww kuumia , kati ya hao kuna idadi ww ukiingia kwenye 18 zao na kama Mungu ndio anatoa adhabu vile, annayekubali ww ndio majuto yako.
Huko kwingine kwenye 100 mmoja anakuadhibu. Humu ukigusa pamoto. Maana wte kama huringa hiv.ila,
 
Habari ndeefuu alafu Chai
 
Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya,
Wengi wanateketea kwa kuendekeza umalaya,
Vipimo vinaonyesha ni kweli umeathirika,
I'm very sorry kwa kupoteza nguvu ya taifa ...
# Prof jize.
 
Mi same story kuna dem mtaratibu Sana nikamwamini, nimepata gono Kali APA natumia dawa kila Aina lakin bado sijasema, ikabid nimpigie simu nimueleze Kua Nina karibu miez mitatu naumwa Sana, hospital wananambia Nina UTI Kali, nimetumia flucamox, Augmentin, metronidazole lakin bado sijasema,... Juzi hapa nikamwambia nataka nikapime HIV maana nipo kwenywe antibiotics 3months toka sept mwishon, akanijibu Kua HIV siwezi Kua nayo sababu yeye anapima mara Kwa mara,
Basi nikapata ujasir we kwenda nae kupima, vipimo vimetoka HIV negative Ila Nina Gono au STD, dawa nilizotumia zote hazifany kazi

Natumia SASA dawa za gono, Ila napata maumivu Sana, mkojo upo Sawa na usaha unatoka kama na semen IV WA maziwa mepesi
Nashukuru uyu dem kanipa gono Ila anafight nipone na ndio roho yake Tu niliyompendea
 
Acha uzinzi dogo,demu wa yudomu unamwendea peku?[emoji23][emoji23]
Wanajiuzaga chimwaga hao[emoji1787][emoji1787]kwa kina dugange
Siyo wa Yudomu, huyo mdada ni wa Chuo cha Mipango Dom.

Namfahamu vizuri na alishaungua long time kitambo.
 
Pole pia mkuu, ukivuka usisahau kuongeza umakini. Mateso na madhara 2nayopatana hayalingani na ile starehe ya mda mfupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…