Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
- Thread starter
-
- #181
Huyo hahamin -me hajawahi kumiss kwa muda mrefu kama hivi, nina wasi wasi na wewe Zombie😂
Dah yani hata sijuiSasa wewe mbona umeshindwa kuilamba asali ya hiyo pisi?
Dah we unamingapi ili nikikuona nikuamkieKumbe bado kachalii sana sikulaumu kwa hilo
Hata mimi ndivyo ninavyoonaUsingle hauna Raha yoyote sijafanikiwa kuona iyo furaha mnayoisema
Dah napenda sana unavyo hamasishaHuyo wako, mtapotezeana kwa muda ila baada ya muda mtakuwa pamoja.
Fanya issues zako if she was meant kua wako atakua tuI once passed through this mkuu......nlimpenda in real and it took time kumsahau.....ila kumbuka kwamba "men don't chase, men attract"
Amini itakuwa hivyo, atakuzungusha ila ipo siku atajaa kwenye mfumo.Huyo haha
Dah yani hata sijui
Dah we unamingapi ili nikikuona nikuamkie
Hata mimi ndivyo ninavyoona
Dah napenda sana unavyo hamasisha
Duh natamani ningeuoa kumbe ukizidisha unapass awayAlileta uzi anaomba msaada, alafu haukumaliza hata dakika 10 ukadisappear
Duh kwaiyo nisimtafute wala nini nikaushe tuFanya issues zako if she was meant kua wako atakua tu
Ahsante kwa ushauriAmini itakuwa hivyo, atakuzungusha ila ipo siku atajaa kwenye mfumo.
✊✌Ahsante kwa ushauri
Yani napenda kujua umegundua nini?Siku zote mtu huficha mwandiko lakini kujisahau kupo
We sema tu, tumwombe ruhusa ila sharti na wewe ujulikaneNingesema kitu ila atanijua mimi nani alafu radha ya hii akaunti ikaishia hapa
Sio sana ila sometime sinichi japo ni mwamba ambaye hana noma na alishwahi kumtokea mamba mmoja anaita lee something akataka mpaka wakutane huko songe ila kama alikataliwa ki aina so mambo yakawa out of control
Mimi hamwez nijua ni nabii tito mpya wa JFWe sema tu, tumwombe ruhusa ila sharti na wewe ujulikane
Kwanza kabisa wewe ni me, kuoga mpaka usindikizwe na joto, unasoma, huna Dem, darasani upo vizuri, ulipo Saiv sio kwenu, unakaa peke yako muda mrefu, ...Yani napenda kujua umegundua nini?
And syo Kila muda unatakiwa uruhusu moyo ukuendeshe....judge na tumia. Logic......usfanye maamuz Kwa hisia mkuuNakusihi ingatia huu ushauri nduguyangu.
Huyo binti hakupendi sema ww unaendeshwa na hisia zako hapa naona hata ushauri huwezi kuuelewa.
Hata huyo unaesema ni dem wako ni uongoKwanza kabisa wewe ni me, kuoga mpaka usindikizwe na joto, unasoma, huna Dem, darasani upo vizuri, ulipo Saiv sio kwenu, unakaa peke yako muda mrefu, ...
And syo Kila muda unatakiwa uruhusu moyo ukuendeshe....judge na tumia. Logic......usfanye maamuz Kwa hisia mkuu
Akijinyonga?Usimpende sana usimuite mpenzi muite rafiki wanawake wanaumia sana kuitwa rafiki kuliko wangu,mpenzi,mpendwa my love ,my honey ,my baby we mwite rafiki tu
Hahah mimi hua naoga mkuu nitake radhi pia mimi siishi na ndugu wala wazazi pia kuhusu kusoma unajua nipo la ngapi?Kwanza kabisa wewe ni me, kuoga mpaka usindikizwe na joto, unasoma, huna Dem, darasani upo vizuri, ulipo Saiv sio kwenu, unakaa peke yako muda mrefu, ...
Nimewahi kuwa na madem sio mmoja ila wote sijawahi banduaHata huyo unaesema ni dem wako ni uongo
Huishi na ndugu ndiyo, hata mimi sijasema kuwa unaishi na ndugu, nimesema unapoishi sio kwenuHahah mimi hua naoga mkuu nitake radhi pia mimi siishi na ndugu wala wazazi pia kuhusu kusoma unajua nipo la ngapi?
Nakutaka radhi kwa hilo la kuoga, ila huna Dem. KataaHahah mimi hua naoga mkuu nitake radhi pia mimi siishi na ndugu wala wazazi pia kuhusu kusoma unajua nipo la ngapi?