Najipendekeza au niachane nae

Sio kweli
Ningesema kitu ila atanijua mimi nani alafu radha ya hii akaunti ikaishia hapa

Sio sana ila sometime sinichi japo ni mwamba ambaye hana noma na alishwahi kumtokea mamba mmoja anaita lee something akataka mpaka wakutane huko songe ila kama alikataliwa ki aina so mambo yakawa out of control
 
Mkuu unanifanya nicheke sana, ujaua kitu kimoja umejisahau ila nimegundua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…