Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
- Thread starter
- #161
Haina shida ngoja nijipendekeze sa ntafanyaje japo nilisema nimlie buyuKula kupooza machungu ubao usome 1-1.
Hongera kwa kujijali kondom muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida ngoja nijipendekeze sa ntafanyaje japo nilisema nimlie buyuKula kupooza machungu ubao usome 1-1.
Hongera kwa kujijali kondom muhimu
Chunga usije kutekwa af baada ya week tutangaziwe "MWILI WA HALF AMERICAN WAONEKANA MUHIMBILI"Na huu ugeni na upepo wa matukio nikianza kumtafuta ntazua taharuki
Usingle hauna Raha yoyote sijafanikiwa kuona iyo furaha mnayoisemaIla mlio kwenye mahusiano mnatuonea wivu sana sisi msingle
Mnaacha kubembelezana mnakuja kukesha na sisi kututia moyo
Huyo wako, mtapotezeana kwa muda ila baada ya muda mtakuwa pamoja.Haina shida ngoja nijipendekeze sa ntafanyaje japo nilisema nimlie buyu
Sio bahariniChunga usije kutekwa af baada ya week tutangaziwe "MWILI WA HALF AMERICAN WAONEKANA MUHIMBILI"
Sio kweliSinichi
Jufanye kama una unasquittt kama vile mademu wa kihayaAaaaaah we Muongo kwaiyo nikakojoe wapi 😂 au nilibwage kunako bed😆
Shindwa, shindwa na ulegee katika jina la Yesu.Chunga usije kutekwa af baada ya week tutangaziwe "MWILI WA HALF AMERICAN WAONEKANA MUHIMBILI"
Eeh au fukweni kando ya bahariSio baharini
Hahaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Shindwa, shindwa na ulegee katika jina la Yesu.
Kumbe na wewe unachekesha hivi 😂Shindwa, shindwa na ulegee katika jina la Yesu.
Ila niliongea kwa utani tu, usije kuota ndoto mbaya mkuu nisamehe bureShindwa, shindwa na ulegee katika jina la Yesu.
Ningesema kitu ila atanijua mimi nani alafu radha ya hii akaunti ikaishia hapaSio kweli
Inategemea na ntu na ntu.Kumbe na wewe unachekesha hivi 😂
Sijaupata huo mchezo hebu nipe nyamnyanaDrone Drake kaasi Chama baada ya kuugua nusu kufa 😂
Imeisha hiyo dingooIla niliongea kwa utani tu, usije kuota ndoto mbaya mkuu nisamehe bure
Mkuu unanifanya nicheke sana, ujaua kitu kimoja umejisahau ila nimegunduaNingesema kitu ila atanijua mimi nani alafu radha ya hii akaunti ikaishia hapa
Sio sana ila sometime sinichi japo ni mwamba ambaye hana noma na alishwahi kumtokea mamba mmoja anaita lee something akataka mpaka wakutane huko songe ila kama alikataliwa ki aina so mambo yakawa out of control
Kipi hikoMkuu unanifanya nicheke sana, ujaua kitu kimoja umejisahau ila nimegundua
Alileta uzi anaomba msaada, alafu haukumaliza hata dakika 10 ukadisappearSijaupata huo mchezo hebu nipe nyamnyana
I once passed through this mkuu......nlimpenda in real and it took time kumsahau.....ila kumbuka kwamba "men don't chase, men attract"Mbaya zaidi sijawahi kumbandua 😮💨