Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
we kaza tu usijieleze sana sema mambo yamekaa vibaya labda next time na next tine hivo hivo [emoji23]Ngumu sana mkuu, kuna wakati namsaidia mtu wakati unakuta balansi niliyobaki nayo si nyingi sana, ila unakuta mtu ana shida seriuous kabisa.
Mkuu lugha uliyotumia ni kali sana.Pole sana ila uwa hii roho mara nyingi inapona maana kuna matukio yanakufikisha kwenye climax kumwambia muhusika yeyote kuwa sitaki haitakuwa shida tena.
Ndo ivo mkuu tufanyaje sasa,,,ila kuna watu ukiwasaidia huwa haiumi ni watu ukiwasaidia unajisikia proud ya moyo wako ila kuna watu wanakuwa vichomi sana,,,,mimi niko hivi kumsaidia mtu ambaye namuona anapambana ila katika mapambano yake ndo hali yake imefikia apo bado anahitaji msaada huwa nafeel good sana kumsaidia,,,ila kunahawa ni marafiki nyoka unakuta mko na kazi sawa wewe unajibana unanunua kiusafiri ila yeye zake anatumia mwenyewe kwenye vitu binafsi alafu anataka wewe umsaidie hawa nao huwa nawasaidia ila huku nikifikiria kabsa huyu ni rafiki mnyonyaji
Kuazima kupo Cha Muhimu unaangalia mtu na mtu Kuna watu waaminifu na waelewa sio Kila mtu Wa kumuazima
Mie gari siazimishi aisee maana kila mtu ana uendeshaji wake pia mafuta yamepanda bei mno mm huwa napiga full tank mwisho wa mwezi najua nisipotoboa basi angalau siku 20 hadi 25 zinafika nikiwa sijaishiwa mafuta sasa kuna watu wahuni kweli anakwambia hebu naomba gari yako niende mahali flani ukimpa sehem ambayo angeenda kwa mafuta ya elf 20 yeue anaweka ya 10 elf.
Kingine huwa hawajui kuna tyre wear, oil na vingine yeye anakwambia nitaweka mafuta
Nimepokea kiongozi, ninaahidi kufanyia kaziJifunze kusema hapana bila kutoa sababu. Huo sio usafiri wa umma. Na Kama una mpa mtu Basi ni Yule wandani kabisa mnae heshimiana kwa sbb anakueshimu na Mali yako ataieshimu.
Kumbe tuko wengi, Soma comments kuna ushauri wadau wamenishauri huenda ukakufaa piapole hata mimi nipo hivyo nasema simkopeshi mtu lakini hata aliyenirusha bado naenda kumpa
ππππππKuna siku watasema Boss ingia Whatsapp Kuna video nimetuma
Mkuu Maghayo kuna mambo yanaumiza sana kiasi kwamba inakubidi utumie lugha ngumu kulainisha moyoMkuu lugha uliyotumia ni kali sana.