Ndo ivo mkuu tufanyaje sasa,,,ila kuna watu ukiwasaidia huwa haiumi ni watu ukiwasaidia unajisikia proud ya moyo wako ila kuna watu wanakuwa vichomi sana,,,,mimi niko hivi kumsaidia mtu ambaye namuona anapambana ila katika mapambano yake ndo hali yake imefikia apo bado anahitaji msaada huwa nafeel good sana kumsaidia,,,ila kunahawa ni marafiki nyoka unakuta mko na kazi sawa wewe unajibana unanunua kiusafiri ila yeye zake anatumia mwenyewe kwenye vitu binafsi alafu anataka wewe umsaidie hawa nao huwa nawasaidia ila huku nikifikiria kabsa huyu ni rafiki mnyonyaji