Najisikia amani kuwa chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu hassan

Najisikia amani kuwa chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu hassan

Mi bishoo tu

Senior Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
122
Reaction score
294
Huyu mama namkubali sana pamoja na mapungufu yake kama binadamu naona kamzidi mbali mbali sana mtangulizi wake hayati John Pombe Magufuli.Jpm alikuwa anakopa ila akiwa na kipaza sauti anasema serikali inajenga miradi Kwa pesa za ndani.Mama ni muwazi,tunajenga hiki Kwa pesa za wahisani,full stop.Pia JPM aliufanya urais kama mali yake binafsi.Mama yupo sawa tumpe muda kaonyesha mwanga sana hata uhasama wa kisiasa umepotea
 

Attachments

  • FB_IMG_1691858958099.jpg
    FB_IMG_1691858958099.jpg
    31.8 KB · Views: 1
Hauko peke yako ndg yangu, Watanzania wengi sana wanamkubali huyu mama. Hawa wachache wanaokesha wakimtukana na kumdhalilisha ni matokeo ya pepo chafu za Ukanda na udini zilizowavaa pamoja na hofu ya wivu iliyowajaa.....mimi nawaita haters!!

Huyu mama ni mwanasayansi mkubwa mno wa utawala........unahitajika kuwa conscious sana kichwani kuelewa hili. Ukiangalia jinsi anavyowajibu kisayansi wazushi wa hoja ya bandari ndo utakapomkubali, watu wamefura mpaka wamepasuka yeye kama yeye hajawajibu neno hata moja bali ameacha vyombo vyake tu vifanye kazi. That's what we call leadership!!!

Udhalilishaji woooote wanaojaribu kuufanya kwake anaujjbu kwa vitendo tu; maji zaidi ili wasikaukiwe na mate wazidi kutema matusi zaidi na mabarabara zaidi ili wapate kusafiri huku na huko kusambaza matusi yao.

Mama ana utulivu, anapiga kazi kwa amani kabisa bila kuyumbishwa na mashinikizo ya wasiompenda. Nafikiri anajua kuwa uongozi huu ni mtihani maalum kwake kutoka kwa Muumba kama inavyodhihirishwa na matukio haya mawili makubwa;
a) kifo cha JPM bila yeye kutarajia kuwa atakuja kushika kiti chake,
b) Mipango iliyoshindwa ya kujaribu kumzuia asishike kiti cha urais.

Haya matukio mawili yanampa picha, bila shaka, kuwa uongozi wake ni mtihani mkubwa.......pengine kuliko wote na ndo maana anajaribu kuyaepuka majaribu haya kwa umakini kabisa!!
 
Hauko peke yako ndg yangu, Watanzania wengi sana wanamkubali huyu mama. Hawa wachache wanaokesha wakimtukana na kumdhalilisha ni matokeo ya pepo chafu za Ukanda na udini zilizowavaa pamoja na hofu ya wivu iliyowajaa.....mimi nawaita haters!!

Huyu mama ni mwanasayansi mkubwa mno wa utawala........unahitajika kuwa conscious sana kichwani kuelewa hili. Ukiangalia jinsi anavyowajibu kisayansi wazushi wa hoja ya bandari ndo utakapomkubali, watu wamefura mpaka wamepasuka yeye kama yeye hajawajibu neno hata moja bali ameacha vyombo vyake tu vifanye kazi. That's what we call leadership!!!

Udhalilishaji woooote wanaojaribu kuufanya kwake anaujjbu kwa vitendo tu; maji zaidi ili wasikaukiwe na mate wazidi kutema matusi zaidi na mabarabara zaidi ili wapate kusafiri huku na huko kusambaza matusi yao.

Mama ana utulivu, anapiga kazi kwa amani kabisa bila kuyumbishwa na mashinikizo ya wasiompenda. Nafikiri anajua kuwa uongozi huu ni mtihani maalum kwake kutoka kwa Muumba kama inavyodhihirishwa na matukio haya mawili makubwa;
a) kifo cha JPM bila yeye kutarajia kuwa atakuja kushika kiti chake,
b) Mipango iliyoshindwa ya kujaribu kumzuia asishike kiti cha urais.

Haya matukio mawili yanampa picha, bila shaka, kuwa uongozi wake ni mtihani mkubwa.......pengine kuliko wote na ndo maana anajaribu kuyaepuka majaribu haya kwa umakini kabisa!!
Unafungua uzi unazunguka mlango wa nyuma kuchangia na account B. Chawa hamjawahi kuwa na Akili.
 
Unafungua uzi unazunguka mlango wa nyuma kuchangia na account B. Chawa hamjawahi kuwa na Akili.
Kwakuwa una tatizo la kijinsia basi nakuacha kama ulivyo. Hata hivyo, bora chawa anajua kujificha kwenye nywele kuliko nyumbu wanaojipeleka hovyo hovyo kwa alligators a.k.a mamba!!
 
Back
Top Bottom