koba lee
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 981
- 1,606
Kwel mapenz yanauma,nimeona bora nije niseme humu labda moyo utapoa,niliyempenda kaniacha asee,
Nilimpenda kuliko chochote na nimemkosea mm,hata kupiga cm naogopa maana naweza kupiga nikakuta hapatikani ndo nikazid kuzidisha wenge,
Hapa hata Kazi haziendi.
Kazi kwelkwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimpenda kuliko chochote na nimemkosea mm,hata kupiga cm naogopa maana naweza kupiga nikakuta hapatikani ndo nikazid kuzidisha wenge,
Hapa hata Kazi haziendi.
Kazi kwelkwel
Sent using Jamii Forums mobile app