Najisikia vibaya sana, Mpangaji mwenzangu ananitesa kimapenzi

Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.

Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.

Daaah ni shida sana
Chunga sana calio laco, ukishindwa kuji kontrol huyo npangaji mwenzako atakufikisha sehemu mbaya sana
 
Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.

Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.

Daaah ni shida sana
gentleman,
huenda hiyo ndiyo kazi yake ya kujipatia riziki, na wewe hukupatia bure kulingana na unavyoonekeno na hali yako.

Nadhani ni muhimu kua na shukran kwake zaid ya lawama kwasababu hana agano wala commitments na wewe na zaid sana hawajibiki kwako pekee 🐒
 
Kuna tatizo la fedha hapo katikati yenu ,ndio maana hueshimiwi.Pole kwa kuliwa kambale wako.Jikatae tu.
 
Hammer11
1. Unamlipia kodi ,
2. Unampa hela ya matumizi
3. Unamnunulia nguo namahitaji yote
4. Unamlipia maji na umeme

Umemtutafutia kazi ulimleta hapo watu wa humu jf hasa wanaume wanataka kuwapa wanawake mipaka ambayo wao hawawezi majuku yake .
Kivip sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…