binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mate kwahiyo una sema mwenzio kapewa lift? 😂Umeomba lift unataka kupiga na honi 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mate kwahiyo una sema mwenzio kapewa lift? 😂Umeomba lift unataka kupiga na honi 😹😹
Una umri Gani mkuuIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Una uhakika hauna matatizo ya akili?Hebu tikisa kichwa chako kidogo.Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Endelea kumlipia kodi mkuuIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Hit and run.Mweke ndani uone kama hatotulia ..... ....wewe mwenyewe ume mweka mkao wa eat and run unadhani kuna watu hawalipendi hilo jimbo na wanaliona liko wazi
Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Mweke ndani uone kama hatotulia ..... ....wewe mwenyewe ume mweka mkao wa eat and run unadhani kuna watu hawalipendi hilo jimbo na wanaliona liko wazi
Mademu wenye mentality kama yako hutombwa na kila mtu mwenye pesa...Huyu amepangiwa na danga lake, anatunzwa na nimume wa mtu ila halipii kila kitu na hajui kumkata vizuri sasa wewe umeona analeta hao watu unadhani ndio kazi yake hapana wanalipa bills , kivipi nyie wanaume wa kf ni wachoyo, wabinafsi na wanafiki, mtu anashida ya haraka anampiga chenga , halafu anataka apewe utapewa sana.
watu wanatunzwa na wanajaliwa usione kizuri kilee kinatunzwa . Humu wanaume wanakimbilia inbox halafu matunzo zeroo wanadhani wanadada wanaishi kimiujiza wanadada wanatunzwa nalipiwa bills nakutolewa out nakujaliwa
kwa humu wapi, umewajaribu wote ukaona hawatunziKwa humu niuongo hakuna hata moja
Mbona kama demu wangu wa mabibo,acha utaki mkuu
Kama unataka usipigiwe Fanya mchakato awe wifeIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Mbona wa kawaida sana huyu!
😄😄 Bilashaka ww n Mwana ChuoIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Dah kazi ipo kwakweli,Huyu amepangiwa na danga lake, anatunzwa na nimume wa mtu ila halipii kila kitu na hajui kumkata vizuri sasa wewe umeona analeta hao watu unadhani ndio kazi yake hapana wanalipa bills , kivipi nyie wanaume wa kf ni wachoyo, wabinafsi na wanafiki, mtu anashida ya haraka anampiga chenga , halafu anataka apewe utapewa sana.
watu wanatunzwa na wanajaliwa usione kizuri kilee kinatunzwa . Humu wanaume wanakimbilia inbox halafu matunzo zeroo wanadhani wanadada wanaishi kimiujiza wanadada wanatunzwa nalipiwa bills nakutolewa out nakujaliwa
Unachangia mwanamke na wanaume wenzako halafu unatusimulia ili iweje wakati unalea ujinga? Hivi hapo inahitaji elimu ya chuo kikuu kutambua kuwa huyo demu ni malaya? Wewe mchukulie kama dada poa yoyote hivyo hutaona wivu tena ukiwa na kutu anakusaidia kuitoa basi mkaushie na staili yake ya maisha. Nimalizie tu kusema wewe ni domo zege vinginevyo usingekuja kulalamika hapa.Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Humu hakunaga wanataka malaika maana malaika hatokuwa anamahitaji anamtokea tu shughuli ikisha anatowekakwa humu wapi, umewajaribu wote ukaona hawatunzi