SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Ndio wajibu kama hauwezi majukumu mpe cash yakeDah kazi ipo kwakweli,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wajibu kama hauwezi majukumu mpe cash yakeDah kazi ipo kwakweli,
😂😂😂Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Si na wewe unaingiza mademuIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Nitumie namba yake inbox nimkanye ili aache hizo tabia na abaki na wewe pekee!
Daah wee jamaa acha uboya na wewe siutafute demu wa kulala hukohuko.Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Kazi unayo jirani! 😂 Na wewe uhame hapo usogee mbali ili nawe awe anakuleta!
duuuuuh wewe Daktari unaandika matusi namna hii!Ukimtomba akaridhika, hatokaa kulala nje Wala kuwaleta Ndani.
Labda kama ni Muuzaji.
Huyu umempendea nini mkuu?
🚮🚮Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Kwann nyie wanawake hamna kazi mtegemee hela za wanaume,mnatka mrizishwe pesa pesa mpewe daahNdio wajibu kama hauwezi majukumu mpe cash yake
Haiusiani kama humtunzi mkeo au mwanamke wako basi acha shidaKwann nyie wanawake hamna kazi mtegemee hela za wanaume,mnatka mrizishwe pesa pesa mpewe daah
Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpgaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Nipe namba yake nimuonyeIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Kwa hiyo Mangi hela yote unayohonga ndiyo inakuwa ya kuhudumia wanaume wanaojua kugegeda? Aiseee, aibu sanaIko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Ngoja nikamcheck Tinder