Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mkubwagentleman,
huenda hiyo ndiyo kazi yake ya kujipatia riziki, na wewe hukupatia bure kulingana na unavyoonekeno na hali yako.
Nadhani ni muhimu kua na shukran kwake zaid ya lawama kwasababu hana agano wala commitments na wewe na zaid sana hawajibiki kwako pekee 🐒
Sawasawa, kazi yetu ni...to lead, provide, protect and love.Nadhani kaka
Sura ya nini hata mbuzi anayo, ana TAKO?
Huyu amepangiwa na danga lake, anatunzwa na nimume wa mtu ila halipii kila kitu na hajui kumkata vizuri sasa wewe umeona analeta hao watu unadhani ndio kazi yake hapana wanalipa bills , kivipi nyie wanaume wa kf ni wachoyo, wabinafsi na wanafiki, mtu anashida ya haraka anampiga chenga , halafu anataka apewe utapewa sana.Kivip sasa
Kwa humu niuongo hakuna hata mojaSawasawa, kazi yetu ni...to lead, provide, protect and love.
Uongo kwa maana ipi?Kwa humu niuongo hakuna hata moja
Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu.
Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi.
Daaah ni shida sana
Watu wa JF! 😂😂😂😂Kama unamiliki bastola na unapiga kilevi basi ukibahatika sana hii ndio xmas yako ya mwisho.
Mpaka hapo hujabaini kama ni muuzaji?Ukimtomba akaridhika, hatokaa kulala nje Wala kuwaleta Ndani.
Labda kama ni Muuzaji.
😂😂😂🙌🏻 Dah!Msemee kwa mwenye nyumba
Mzuri, Ongea nae vizuri kuwa uko serious naye kwahiyo aache “hiyo tabia”