Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.


Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa

Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.


Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.

Kwa leo niishie hapo.
Kongole kwa kivumishi "Baadhi yenu" umeitendea haki akili yako!
 
wanaume wa dar kazi kudanga kwa mijimama huku mkibuni mbinu nyingi za utapeli,mwanaume wa dar unalala na mke na watoto chumba hichohicho na sebule hyihyo,mwanaume wa dar maji mnakunywa ya kondoro hamjui hata usalama wake
 
Haha wa mikoani mna maneno kama asha boko
 
Sasa dar unakuta mwanaume anakula soseji, chips, baga,kuku wa kizungu,ice cream, mara mchemsho cjui, alafu anajisifu anakula anachotaka wakat vyote hivyo ni vyakula vya kula wanawake...na bado akila anabakza.
Hiyo soseji siwezi kula imekaa kama dushe
 
Kwa upande wangu naona bora mara 1000000 kuwa mwanaume wa dar kuliko wa shamba kwa sababu zifuatazo.

Dar kuna kila kitu ambacho Mikoani baadhi kupatikana shida.

Dar hatulimi ila unachotaka kula kipo.Tofaut na mikoani

Dar Hatukai kizembe zembe akili ndio msing wa Maisha tofaut na mikoani.

Najivunia kuwa mwanaume wa dar.


Hauna akili timamu, mwanamme anayejitambua hata siku moja hawezi kuwa na furaha kujiita mwanamme wa Dar, haiwezekani.
 
Mwanaume wa dar akipata kahela kidogo tu anakimbilia kununua nguo..zile wanaita kamatia chini na vijeans vilivyochanika chanika kweny magoti
 
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.


Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa

Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.


Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.

Kwa leo niishie hapo.
Njoo kagera uone wanaume wanavyo jichubuwa.
 
Kwa upande wangu naona bora mara 1000000 kuwa mwanaume wa dar kuliko wa shamba kwa sababu zifuatazo.

Dar kuna kila kitu ambacho Mikoani baadhi kupatikana shida.

Dar hatulimi ila unachotaka kula kipo.Tofaut na mikoani

Dar Hatukai kizembe zembe akili ndio msing wa Maisha tofaut na mikoani.

Najivunia kuwa mwanaume wa dar.
Nasikia eti huwa mnakula pemba na kuvaa kikuku ?
 
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.


Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa

Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.


Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.

Kwa leo niishie hapo.
Unaongelea watu tofauti sana, hao sio wanaume wa dar, labda unasemea wa tanga
 
Back
Top Bottom