Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
85 ya Mapato ya TRA hutokea Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongole kwa kivumishi "Baadhi yenu" umeitendea haki akili yako!Wanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.
Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa
Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.
Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.
Kwa leo niishie hapo.
Kongole kwa kivumishi "Baadhi yenu" umeitendea haki akili yako!
Haha wa mikoani mna maneno kama asha boko
Hiyo soseji siwezi kula imekaa kama dusheSasa dar unakuta mwanaume anakula soseji, chips, baga,kuku wa kizungu,ice cream, mara mchemsho cjui, alafu anajisifu anakula anachotaka wakat vyote hivyo ni vyakula vya kula wanawake...na bado akila anabakza.
Kwa upande wangu naona bora mara 1000000 kuwa mwanaume wa dar kuliko wa shamba kwa sababu zifuatazo.
Dar kuna kila kitu ambacho Mikoani baadhi kupatikana shida.
Dar hatulimi ila unachotaka kula kipo.Tofaut na mikoani
Dar Hatukai kizembe zembe akili ndio msing wa Maisha tofaut na mikoani.
Najivunia kuwa mwanaume wa dar.
Wavulana wa mikoani mtapata taabu sana
Njoo kagera uone wanaume wanavyo jichubuwa.Wanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.
Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa
Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.
Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.
Kwa leo niishie hapo.
Mkuu umetumwa na demu wako uandike hivyo nnDar es salaam hakuna wanaume bali kuna watoto wa kiume....
Bila shaka wanamume wenzangu wameshanielewa...!!!
Nasikia eti huwa mnakula pemba na kuvaa kikuku ?Kwa upande wangu naona bora mara 1000000 kuwa mwanaume wa dar kuliko wa shamba kwa sababu zifuatazo.
Dar kuna kila kitu ambacho Mikoani baadhi kupatikana shida.
Dar hatulimi ila unachotaka kula kipo.Tofaut na mikoani
Dar Hatukai kizembe zembe akili ndio msing wa Maisha tofaut na mikoani.
Najivunia kuwa mwanaume wa dar.
Unaongelea watu tofauti sana, hao sio wanaume wa dar, labda unasemea wa tangaWanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.
Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa
Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.
Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.
Kwa leo niishie hapo.