Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Kwa akili yangu ndogo ya darasa la saba mleta uzi sio wa Dar bali anataka kutafuta povu la wanaume wa Dar.
Sijaona mwanaume wa Dar kujivunia kuwa yeye ni wa Dar wanavoogopa hapa kujitambulisha ni hatari sana.
Ila asilimia kubwa wanaume wa Dar wanakunywa soda kwa mrija.
Umewapoza alafu umewalipua[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Mwanume wa Dar - Lumumba street hapa akiwa anasherekea Bombadier
tapatalk_1492704158757.jpeg
 
Magufuli alisema ukikaa Dar mpaka mwezi wa sita basi wewe mwanaume.
 
Watu wa mikoani mnajua kuongea manina. Yaani mnajua mambo ya Dar kuliko hata shamba lako lina ekari ngapi.
 
Ila hawa watanga nao huwa wanatuangusha yani unakuta mwanaume anatembea na khanga eti wanaita msuli

Hua napata tabu sana hahaha
Ha ha ha bora umesema ukweli labda tafsiri ibadilike watu wa mwambao wa Pwani nao wawe included kwenye wanaume wa Dar maana bila hivyo ni kasheshe mambo yao wakiwa watu wa mkoani
 
Wanaume wa Dar baadhi yenu mnakula kwa hisani ya kazi za Dada zenu wanazo zifanya usiku.


Mwanaume wa Dar anakunywa soda na biscuit ya 500 kashiba kabisa na analala

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajichubua pia kama wanawake wasio jikubali.

Wanaume wa Dar baadhi yenu mnajipaka mafuta kwenye lips mkidai zinakauka.


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnashinda kwenye kioo mkijipodoa

Wanaume wa Dar baadhi yenu mkitoka bafun mnavua nguo zote mnajipaka mafuta mwili mzima, sisi wa mkoani tunajipaka mafuta baada ya kuvaa nguo tukimaliza kuoga.


Wanaume wa Dar baadhi yenu ni wambea, wambea tu kama wanawake


Wanaume wa Dar baadhi yenu mnamapozi ya kike sana mpigapo picha, mfano kulamba, kungata lips wakati wa upigaji wa picha.

Kwa leo niishie hapo.
umeandika kwa uchungu sana jamaa yangu......KARIBU DAR
 
Pamoja na dar kuwa yenu tumewapa viongozi wakuu wote tukijua dada zetu hampendi kazi ngumu
1 magu chattle
2 waziri mkuu ruagwa
3 mkuu wa majeshi (cdf) simiyu
4 DAB (makonda) call me j
 
Wanaume wa Dar mnapenda kujifagiria kijinga
 
Back
Top Bottom