Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Wanapetiwapetiwa kwanza alafu wanapewa mahitaji yao bila kufanya kazi [emoji4]Hamlimi na kila mnachotaka kula kipo tofauti na mkoani!!
So vyakula huwa vinashuka kutoka mbinguni kama vile vichwa vya treni sio?