Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Hamlimi na kila mnachotaka kula kipo tofauti na mkoani!!
So vyakula huwa vinashuka kutoka mbinguni kama vile vichwa vya treni sio?
Wanapetiwapetiwa kwanza alafu wanapewa mahitaji yao bila kufanya kazi [emoji4]
 
Mwanaume wa dar akipata kahela kidogo tu anakimbilia kununua nguo..zile wanaita kamatia chini na vijeans vilivyochanika chanika kweny magoti
Halafu watu hawajajua tu...
Kwa mwanaume aliyezaliwa dar hawez kufanya vitu mnavyosema nyinyi, hao wanakuwaga waliotoka mikoani wanavamia jiji kwa pupa, mimi nawajua wadogo wametoka mwanza washamba sahv wameanza kuvaa vimodo, kunyoa viduku, kuvaa milegezo, sasa mbona sisi wa dar natural born dar men hatunaga hizo mambo, ni uzuzu tu wa kuiga mambo, chunguza wote wenye hayo mambo ni wakuja tu
 
Halafu watu hawajajua tu...
Kwa mwanaume aliyezaliwa dar hawez kufanya vitu mnavyosema nyinyi, hao wanakuwaga waliotoka mikoani wanavamia jiji kwa pupa, mimi nawajua wadogo wametoka mwanza washamba sahv wameanza kuvaa vimodo, kunyoa viduku, kuvaa milegezo, sasa mbona sisi wa dar natural born dar men hatunaga hizo mambo, ni uzuzu tu wa kuiga mambo, chunguza wote wenye hayo mambo ni wakuja tu
Hao wadogo zako si walikuwa wanakopi na kupest walichokikuta kwa nyie kaka zao...
 
Ha Ha ha mkuu unataka kukataa tanga siyo mkoani?

Hebu tutajie wapi ni mkoani sasa
Wanaume wa tanga na wa mwambao ndo wanajulikana kwa ulegevu, wanajivunia mapenzi tuu, wa dar wanasifika kwa mishe mishe, tangu kitambo watu wanajua dar dsm darisalama ni jiji la kukaa kwa akili, huo ulegevu mnaotupatia waDar ni mbinu tu ya kuhalalisha wageni wavamia jiji, hamna aliyezaliwa akakulia dar akawa na mikogo hiyo, wote ni wazamiaji
 
Kwa akili yangu ndogo ya darasa la saba mleta uzi sio wa Dar bali anataka kutafuta povu la wanaume wa Dar.
Sijaona mwanaume wa Dar kujivunia kuwa yeye ni wa Dar wanavoogopa hapa kujitambulisha ni hatari sana.
Ila asilimia kubwa wanaume wa Dar wanakunywa soda kwa mrija.
 
Back
Top Bottom