Najivunia kuwa Mwanaume wa Dar

Umewapoza alafu umewalipua[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Magufuli alisema ukikaa Dar mpaka mwezi wa sita basi wewe mwanaume.
 
Watu wa mikoani mnajua kuongea manina. Yaani mnajua mambo ya Dar kuliko hata shamba lako lina ekari ngapi.
 
Ila hawa watanga nao huwa wanatuangusha yani unakuta mwanaume anatembea na khanga eti wanaita msuli

Hua napata tabu sana hahaha
Ha ha ha bora umesema ukweli labda tafsiri ibadilike watu wa mwambao wa Pwani nao wawe included kwenye wanaume wa Dar maana bila hivyo ni kasheshe mambo yao wakiwa watu wa mkoani
 
umeandika kwa uchungu sana jamaa yangu......KARIBU DAR
 
Pamoja na dar kuwa yenu tumewapa viongozi wakuu wote tukijua dada zetu hampendi kazi ngumu
1 magu chattle
2 waziri mkuu ruagwa
3 mkuu wa majeshi (cdf) simiyu
4 DAB (makonda) call me j
 
Wanaume wa Dar mnapenda kujifagiria kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…