Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Ben Saanane

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2007
Posts
14,580
Reaction score
18,193

Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda hakupendeka na kutumia njia ya kistaarabu kumuacha kwa majonzi, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa penzi la dhati

Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.

Kwa tuliyopanga weekend naamini Mola atatutangulia,sauti yako tamu masikioni mwangu bado yajirudia rudia.

Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi mfalme katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u


Madame B,Do not think for one second you are alone, for two hearts and souls joined together in friendship, for this life and in many past lives, forges an unbreakable bond that only grows stronger in time.
My love for you knows no limits. It is timeless, spaceless, formless, unshakable and un breakable.Ilove you Madame B

CC: Madame B-Future First Lady(kiboko ya magamba kule siasani)

CC: Kwa wale waume zake wa zamani
CC:Kwa mashemeji
CC:Kwa wale wote wanaomtolea mimacho
CC;Kwa wale wote wanaomuhonga bila kuambulia kitu madame B kula kama vijana wanavyokula za CCM lakini kura CHADEMA. mada.jpg

NB: Ben Saanane wa Chit chat anabakia humu humu na wanachama kampani yake.
 
Last edited by a moderator:
Pole na hongera wifi yangu
Uhhp!!! (nashusha pumzi).
Sina usemi mpenzi wangu.
Yaani najisikia raha sana kupendwa na wewe.
Mtoto wa Kinondoni mwenzangu.

Dahhhh!!!
Ngoja kwanza nifute machozi ya furaha, afu nije tena mpenzi wangu.
Mwaaah!!!
 
Makubwaaaa we Ben Saanane kwa hali hii utakomboa nchi kweli khaaaaaa..... Nimestuka sana asee

Ha ha ha sweetlady,

ili uwe mkomboa nchi mzuri ni lazima pia uwe na patna wa shoka kama Mandela na winnie,kama Samora na Graca,Kama Nyerere na Maria ila uepuke Imelda Marcos au Delilah wa Samsoni
 
Last edited by a moderator:
Nakuhurumia sana Ben Saanane! Hivi unajua wewe na Madame B uhusiano wenu ulianza barabarani tu?

Ole wako ukose uprezidaa...utaachwa mchana kweupee!!

BTW mnapendezea sana na ningependa uhusiano wenu udumu ila ndo hivyo tena!! Nitarudi kwa ushauri.

Hahahha Arushaone,huu wivu wako huu utakuua.
 
Last edited by a moderator:
He he he, walosema hapendeki, huyo anapendwa hadharani
Walosema si mzuri, uzuri uko kwa jicho la mwonaji.

Haya mababu, mashosti na mawifi na kadhalika njooni mshereheshe penzi lililofurika.

cc @FP, Dark City, snowhite, King'asti
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom