Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Wee, ulikuwa mafichoni, mwenzio kaja hadharani tena bila mtutu wa bunduki wala nini

Kalevywa na penzi tu, chezea chin chong wewe ya madame b

Nakuhurumia sana Ben Saanane! Hivi unajua wewe na Madame B uhusiano wenu ulianza barabarani tu?

Ole wako ukose uprezidaa...utaachwa mchana kweupee!!

BTW mnapendezea sana na ningependa uhusiano wenu udumu ila ndo hivyo tena!! Nitarudi kwa ushauri.
 
Ha ha ha sweetlady,

ili uwe mkomboa nchi mzuri ni lazima pia uwe na patna wa shoka kama Mandela na winnie,kama Samora na Graca,Kama Nyerere na Maria ila uepuke Imelda Marcos au Delilah wa Samsoni


Ni kweli Ben Saanane ila kwa Madame B mmmh..... Sina hakika kama ni mwanamke wa shoka kama hao uliowataja...... Isijekuwa ametumwa akupoteze !
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Ben Saanane unajua kubembeleza namna hiyo!!!!!!!

Hivi utaweza kweli kuvumilia mangumi na mateke kila mara?

Muulize Arushaone alivyokua anakula kichapo mpaka ikabidi aime "nakupa talaka, bebiiii, kwa shingo upande".

Ila vumilia tu maisha ni kutafuta na wala sio kutafutana.
 
Last edited by a moderator:
images
mwee unamfaidi sana huyu Madame B lol


Hahahaha Nivea lol
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Ben Saanane unajua kubembeleza namna hiyo!!!!!!!

Hivi utaweza kweli kuvumilia mangumi na mateke kila mara?

Muulize Arushaone alivyokua anakula kichapo mpaka ikabidi aime "nakupa talaka, bebiiii, kwa shingo upande".

Ila vumilia tu maisha ni kutafuta na wala sio kutafutana.

Hahahha saudari mimi nina ukomavu.

CC: Arushaone, Zion Daughter

CC:Wachumba zangu wa Zamani-Kwa ushuhuda
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Ben Saanane ila kwa Madame B mmmh..... Sina hakika kama ni mwanamke wa shoka kama hao uliowataja...... Isijekuwa ametumwa akupoteze !

Akiwa kama imelda Marcos namtimua ila nimemfanyia vetting ya kutosha.Unajua sweetlady nilipokutana na Madame B mara ya kwanza nilichukua tahadhari sana asijekuwa ametumwa,ilikua ni mwendo wa kukagua kucha kila mara hadi nilipojiridhisha she's for real.Now i'm Rolling with her....!
 
Last edited by a moderator:
Akinikana,nitamwachia mungu.Lakini kiukweli huyu ni mchumba wangu nimpendaye kwa moyo wangu wote!
Duh pole.Ila alinihakikishia hana.Vumilia tu ila nalifanyia kazi....

CC: Madame B-Kuna tuhuma hapa dhidi yako my Empress.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom