Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Bahari iko mbele yangu,niendako sipaoni,ni kama mwanafunzi wa form 4 aliyezungusha ama kutaga yai baada ya familia yao kuuza ng'ombe wote ili asome.
Lahaula sikubali ntaenda kwa Bishanga nasikia kafungua kabiashara kapya anajiita mganga maarufu toka bukoba, amsahaulishe Ben Saanane amwite Madame B dada yake
 
Last edited by a moderator:
Bahari iko mbele yangu,niendako sipaoni,ni kama mwanafunzi wa form 4 aliyezungusha ama kutaga yai baada ya familia yao kuuza ng'ombe wote ili asome.
Lahaula sikubali ntaenda kwa Bishanga nasikia kafungua kabiashara kapya anajiita mganga maarufu toka bukoba, amsahaulishe Ben Saanane amwite Madame B dada yake

ahahhahahhahahahhah ,Duh JF Rocks
Bishanga angejua yote hayo naye si angetafuta ufumbuzi maana mimacho anayomtolea Madame B hadi macho yamekua Red
 
Last edited by a moderator:
Chimbuvu,

Yote hayo uliyomfanyia ndiyo umnyanyase na kumtesa? Pole

Calcuta India tena? Wewe si safari zako ni Dar na Malampaka tu?ni lini ulishaenda hata Burundi?

Acha Kumchafua Madame B kwa sababu ame-move on.Ha ha ha pole

CC: Ma-Ex wake
CC:Ma-ex wangu

Mpenzi wangu.
Hao wote wanaonikumbuka leo walikuwa wapi?
Wasikutishe na mikwara yao mpenzi wangu.
Arushaone simjui, Chimbuvu simjui,
TUKUTUKU simjui.
Nakujua wewe tu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ben Saanane na Lady Madame B nawatakieni kila lakheri.
Ila kaka ukianza kuona dalili za jogoo kutopanda mtungi ujue Komando wa Kichina kakushikisha leso ya Mwakyembe
Asante kaka, ila....

Hahahhaha nitatumia mbinu ya Mwanasheria mashuhuri wa Kenya au Sani Abacha
 
Bahari iko mbele yangu,niendako sipaoni,ni kama mwanafunzi wa form 4 aliyezungusha ama kutaga yai baada ya familia yao kuuza ng'ombe wote ili asome.
Lahaula sikubali ntaenda kwa Bishanga nasikia kafungua kabiashara kapya anajiita mganga maarufu toka bukoba, amsahaulishe Ben Saanane amwite Madame B dada yake

Ndo basi tenaaa.
 
Last edited by a moderator:
Khaa mtoto Madame B nilikukuta sitimbi umebeba mahindi na furushi la magimbi,
leo Madame B unaniona takataka mbele ya washika dau khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa :cry:

Niache nitanue nae mpenzi wangu.
Hebu rudia tena...ulinikuta wapi ati?
Chimbuvu, niache nipumue.
Kipenzi changu yuko kwenye kampeni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom