Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu usije ukatendwa then ukatulaumu kuwa hatujakutadhalisha

Hayo ni maneno ya mkosaji.
Debe tupu,haliachi kutika.
Tika weeee... Ukichoka nambie nitonye.

sweetlady, njoo ubebe mtu wako huku.
 
Last edited by a moderator:
Hayo ni maneno ya mkosaji.
Debe tupu,haliachi kutika.
Tika weeee... Ukichoka nambie nitonye.

sweetlady, njoo ubebe mtu wako huku.

Hahaahahaha Madame B hilo gunia la misumari mama, limenishinda zamani nkalitua pwaaaaaaa sitaki shida mie..... Nae aliniona wa ninu sahizi ananikodolea mijicho..... Mtoe nje asitupigie makelele humu ndani....

Shemeji Ben Saanane hebu waambie vijana wako wa red brigade wamtoe nitonye nje anasumbua huku
 
Last edited by a moderator:
Hahaahahaha Madame B hilo gunia la misumari mama, limenishinda zamani nkalitua pwaaaaaaa sitaki shida mie..... Nae aliniona wa ninu sahizi ananikodolea mijicho..... Mtoe nje asitupigie makelele humu ndani....

Shemeji Ben Saanane hebu waambie vijana wako wa red brigade wamtoe nitonye nje anasumbua huku

Hv sie wabongo mbona hvo?
Ukimpata mwenye penzi la dhati.,watajifanya wanakufata.
sweetlady, waambie nitaondoka na utumbo wa binadamu leo.
 
Last edited by a moderator:
Hahaahahaha Madame B hilo gunia la misumari mama, limenishinda zamani nkalitua pwaaaaaaa sitaki shida mie..... Nae aliniona wa ninu sahizi ananikodolea mijicho..... Mtoe nje asitupigie makelele humu ndani....

Shemeji Ben Saanane hebu waambie vijana wako wa red brigade wamtoe nitonye nje anasumbua huku

Hahaha sweetlady shem wangu mpenzi huyu jamaa akitolewa njee na Red Brigade ataenda magazeti ya udaku

Namuitia Baba V
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom