Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Kweli mama wa watoto wangu rudisha moyo wako nyuma,,
kama ningeweza kuzirudisha siku nyuma,,hata magoti ningepiga ili nipate wako msamaha,nakusihi upunguze hasira Madame B
we nidanganye nidanganye tu hata kama nikikukuta na Ben Saanane chumbani we nidanganye angalau moyo wangu utulie usiniambie ukweli ningekusihi Madame B upunguze hasiraaa uwe na moyo wa subira,,

Chimbuvu mpenzi wangu wa moyo.
Kumbuka ulikuwa na nafasi kubwa sana ndani ya moyo wangu.
Na ulidiriki hata kumwambia shemeji C6 jinsi unavyojisikia ukiwa na mimi.
Ila tatizo lako ni moja tu, Ulishindwa kuniambia kuwa unataka kuoa.
Mie mwenyewe nakukumbuka sana mpenzi wangu.
Sijakutupa.
Bado nakuwaza.
Ila "mapenzi yetu yawe ya siri".

Mbona wenzako tedo, Chilli na Remote hawalalamiki?
Mweeehhh!!!
 
Last edited by a moderator:
Chimbuvu mpenzi wangu wa moyo.
Kumbuka ulikuwa na nafasi kubwa sana ndani ya moyo wangu.
Na ulidiriki hata kumwambia shemeji C6 jinsi unavyojisikia ukiwa na mimi.
Ila tatizo lako ni moja tu, Ulishindwa kuniambia kuwa unataka kuoa.
Mie mwenyewe nakukumbuka sana mpenzi wangu.
Sijakutupa.
Bado nakuwaza.
Ila "mapenzi yetu yawe ya siri".

Mbona wenzako tedo, Chilli na Remote hawalalamiki?
Mweeehhh!!!


Copy Ben Saanane khaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ben Saanane hongera mwaya umepata toto toto kweli kweli wacha wa kusema waseme mwenye bahati wewe. Siasa weka kando umeshapata ukipendacho tabu gani tena.
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume hajitambulishi bibi weww. Anatambulishwa na majukumu. Madame B kampendea huo huo uanasiasa. Dume la maana linalopigania nchi yake.
Shem Ben Saanane usiache kupambana na kamwe hakuna kurudi nyuma. Np retreat no surrender! Here here together we stand, united front.
Ben Saanane hongera mwaya umepata toto toto kweli kweli wacha wa kusema waseme mwenye bahati wewe. Siasa weka kando umeshapata ukipendacho tabu gani tena.
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi yamemchanganya Ben Saanane wa watu...ukombozi katupa kuleeeee....hahahaaaa

KOKUTONA mpenzi, mapenzi yanaweza hamisha mlima kupeleka baharini.
Unamkumbuka yule afsa wa jeshi alievuliwa ukamanda kwa kukolezwa na penzi la kimada?
Sasa ndo huku tunakoelekea.
M4C wanamcheki tu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom