Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Watakamnyimani mtoto wa mwanamke mwenzio umpapo shkamoo? Kwanza Mtambuzi alishaipiga marufuku.

Arushaone baba.
Mie kwetu nimefunzwa adabu.
Unajua huyu tedo ni mume wa mbalimbali, sasa kaibuka tu na kupotea ghafla, so najihami asije tugandisha bureee si unajua huyu kakake ni Manyaunyau!
 
Last edited by a moderator:
Chimbuvu mpenzi wangu wa moyo.
Kumbuka ulikuwa na nafasi kubwa sana ndani ya moyo wangu.
Na ulidiriki hata kumwambia shemeji C6 jinsi unavyojisikia ukiwa na mimi.
Ila tatizo lako ni moja tu, Ulishindwa kuniambia kuwa unataka kuoa.
Mie mwenyewe nakukumbuka sana mpenzi wangu.
Sijakutupa.
Bado nakuwaza.
Ila "mapenzi yetu yawe ya siri".

Mbona wenzako tedo, Chilli na Remote hawalalamiki?
Mweeehhh!!!

Mimi nilisema list ni ndefu sana na hapa bado yaani ben kapigwa changa la macho
 
Last edited by a moderator:
Chezeya body guard wewe, mie mpana kama pazia la labour....mjini lazima watutambue

Tenyaaaa
Lazima mjini wajue kuwa First Lady toka Chama kingine kaingia.
Na tulivyo wapana hapa mujini...
Tutakabaje...mpaka penati.
Chezea watu na shughuli zao.
 
Nina janga la kukosa usingizi toka ile ishu...

Hivyo mimi night shft ni daily

Hapana KOKUTONA mpenzi!!!
Hapana na usiseme hivo kabisa.
Najua ni ngumu kusahau, ila jikaze mpenzi.
Mungu alikuwa na makusudi yake.
Tazama mie kwa jinsi mlivyonifariji, lakini nilipiga moyo konde.
Nilikubaliana na hali ile.
Na ndio maana kila siku siachi kuwasalimia humu, kwa maana najua ninyi ni zaidi ya ndugu, kaka zangu, dada zangu, wadogo zangu na kila kitu.
KOKUTONA, piga moyo konde mamito.
Tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Ndo ulipofia? Kweli mapenzi mwana haramu!

Hujawahi kupenda au kupenda wewe, ndo mana wasema hayo.
Museven na ukali wake wote, na nyota zake pale begani, lakini inafika mahali magwanda anayavua mwenyeweeee kwa mkono wake.
Na kuwa mpoleee..
Sembuse sie.
 
Back
Top Bottom