Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Kule poa si unajua nikama ulaya ulaya hivi? Tufanye jumamosi ili tuamze na supu pale kwa Justace (twins grocery) pale barabarani kabla hatujapandisha nkoarua. Unaonaje?

Naomba mkutano wako na Arushaone uishie hapohapo Justace.
Endapo mtaenda mbali zaidi.
Natuma kopi kwa mumeo.
 
Last edited by a moderator:
Mdogo sana si basi tu kwa tamaa zako ndo utamuona mkubwa.
Sie wote wadogo, hadi mimi...lol!!!

Hivi una habari unawaza mambo mengine kabisa? King'asti sio shemeji yangu ila ni shemeji yako kwa Paw ati...!
UTAJIJU.
 
Last edited by a moderator:
Tenyaaaa
Lazima mjini wajue kuwa First Lady toka Chama kingine kaingia.
Na tulivyo wapana hapa mujini...
Tutakabaje...mpaka penati.
Chezea watu na shughuli zao.

Ninyime hela ila usininyime shuhuli, mtaa utatimuka vumbi.....chezeya wewe shogake first lady wa Ben Saanane
 
Last edited by a moderator:
Hivi una habari unawaza mambo mengine kabisa? King'asti sio shemeji yangu ila ni shemeji yako kwa Paw ati...!
UTAJIJU.

UTAJIJU wewe mwenyewe.
Kama unajua ni shemeji yangu na ana mumewe, kwanini mnataka mkutane "Machinjioni" pale njia panda.
Ushawahi kusutwa na matarumbeta?
Muulize Bishanga.
Mke wa mtu sumu.
 
Last edited by a moderator:
Ushemeji tungezima taa biree. Ila huu ukaka hauna neno. Mie sichezei sharubu, namnyoa sharubu. Usihofu mbona Paw anamjua ndugu yake huyu.
Naomba mkutano wako na Arushaone uishie hapohapo Justace.
Endapo mtaenda mbali zaidi.
Natuma kopi kwa mumeo.
 
Last edited by a moderator:
Mbona nna tuapartments kule alinijengea Pasco? Ni rafiki mwema sana katika Bwana. Tutapumzika hapo (kwa lunch na viburudisho halafu kila mtu na bedroom yake)
Mi naona poa ila inabidi twende na tent kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ninyime hela ila usininyime shuhuli, mtaa utatimuka vumbi.....chezeya wewe shogake first lady wa Ben Saanane

Umeona ee!
Kwanza siku hyo twafunga mtaa kwa tambo na tuo.
Twachora mstari kati.
Daadeki wa huko wa huko na wa huku wa huku.
Rede inapigwa kati mtu na shogae wanachekelea kunusa Ikulu.
Vumbi la ugoko kama tuko machimboni.
Chezea Ushoga wewe.
Ushoga kazi mjimi hapa...ohoo.
 
Last edited by a moderator:
Mbona nna tuapartments kule alinijengea Pasco? Ni rafiki mwema sana katika Bwana. Tutapumzika hapo (kwa lunch na viburudisho halafu kila mtu na bedroom yake)
Mi naona poa ila inabidi twende na tent kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Umeona ee!
Kwanza siku hyo twafunga mtaa kwa tambo na tuo.
Twachora mstari kati.
Daadeki wa huko wa huko na wa huku wa huku.
Rede inapigwa kati mtu na shogae wanachekelea kunusa Ikulu.
Vumbi la ugoko kama tuko machimboni.
Chezea Ushoga wewe.
Ushoga kazi mjimi hapa...ohoo.

Ushoga ajira, ushoga kazi na ushoga gharama eeehhh, tena ushoga ukiwa wa mjini ndio hasa kwani kuna kuiga uzungu kwa kwenda mbele.

Siku ya kuapishwa shoga itabidi tuite na segere, taarabu (isha mashauzi), na mashangingi yoooote ya mjini yawepo. Chezeya wana mishuhuliko wewe. Itakuwa sherehe ya kuingia ikulu ya kipekee na na kwanza kutokea
 
Mbona nna tuapartments kule alinijengea Pasco? Ni rafiki mwema sana katika Bwana. Tutapumzika hapo (kwa lunch na viburudisho halafu kila mtu na bedroom yake)

.....Kama ilivyo kawaida yetu.!
 
Last edited by a moderator:
Heeh mie nilishapigiwa misele sana, sasa kama ni kweli atakuwa anajisumbua tu

Nawe shoga angu nitaingia dimbani nikusute mwenyewe.
We si uliniambia umeachika wewe?
Mtoto wa kike jiachie bhana, chombo kimetia nanga baharini...legeza jicho hilo.
Mambo gani ya kukaza uso utadhani unakamuliwa jipu la kwapa?
Arushaone anakupotosha tu.
 
Last edited by a moderator:
Nawe shoga angu nitaingia dimbani nikusute mwenyewe.
We si uliniambia umeachika wewe?
Mtoto wa kike jiachie bhana, chombo kimetia nanga baharini...legeza jicho hilo.
Mambo gani ya kukaza uso utadhani unakamuliwa jipu la kwapa?
Arushaone anakupotosha tu.

Shoga kuringa kidogo lazima, nitajuaje kwamba amefika bei/amependa kweli? hayo madini ya arusha lazima ayatue kwangu...bila kuringa madini yatapita mtaa wa ishirini, mjini kuzichanga vizuri, mjini mipango ati.
 
Back
Top Bottom