Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule poa si unajua nikama ulaya ulaya hivi? Tufanye jumamosi ili tuamze na supu pale kwa Justace (twins grocery) pale barabarani kabla hatujapandisha nkoarua. Unaonaje?
Tenyaaaa
Lazima mjini wajue kuwa First Lady toka Chama kingine kaingia.
Na tulivyo wapana hapa mujini...
Tutakabaje...mpaka penati.
Chezea watu na shughuli zao.
Heeh mie nilishapigiwa misele sana, sasa kama ni kweli atakuwa anajisumbua tuAcha kuzibia watu riziki zao Arushaone.
Utajuaje, pengine alikuwa anampigia misele KOKUTONA au Mrembo by Nature je!
Acha hzo.
Ninyime hela ila usininyime shuhuli, mtaa utatimuka vumbi.....chezeya wewe shogake first lady wa Ben Saanane
Naomba mkutano wako na Arushaone uishie hapohapo Justace.
Endapo mtaenda mbali zaidi.
Natuma kopi kwa mumeo.
Ninyime hela ila usininyime shuhuli, mtaa utatimuka vumbi.....chezeya wewe shogake first lady wa Ben Saanane
Umeona ee!
Kwanza siku hyo twafunga mtaa kwa tambo na tuo.
Twachora mstari kati.
Daadeki wa huko wa huko na wa huku wa huku.
Rede inapigwa kati mtu na shogae wanachekelea kunusa Ikulu.
Vumbi la ugoko kama tuko machimboni.
Chezea Ushoga wewe.
Ushoga kazi mjimi hapa...ohoo.
Heeh mie nilishapigiwa misele sana, sasa kama ni kweli atakuwa anajisumbua tu
Nawe shoga angu nitaingia dimbani nikusute mwenyewe.
We si uliniambia umeachika wewe?
Mtoto wa kike jiachie bhana, chombo kimetia nanga baharini...legeza jicho hilo.
Mambo gani ya kukaza uso utadhani unakamuliwa jipu la kwapa?
Arushaone anakupotosha tu.