Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Ushemeji tungezima taa biree. Ila huu ukaka hauna neno. Mie sichezei sharubu, namnyoa sharubu. Usihofu mbona Paw anamjua ndugu yake huyu.

Maskini Madame B yalivyokushuka...!!! Ukome kuingilia visivyokuhusu!
 
Last edited by a moderator:
Ushemeji tungezima taa biree. Ila huu ukaka hauna neno. Mie sichezei sharubu, namnyoa sharubu. Usihofu mbona Paw anamjua ndugu yake huyu.

Mie ndo namjua Arushaone vizuri, Unywele to Ugoko.
Hana masikhara mbele ya demu hivooo.
UShemeji mchana huyo, usiku anageuka dear.
Ntatuma kopi mimi.
Sema Suuu..
 
Last edited by a moderator:
Mie ndo namjua Arushaone vizuri, Unywele to Ugoko.
Hana masikhara mbele ya demu hivooo.
UShemeji mchana huyo, usiku anageuka dear.
Ntatuma kopi mimi.
Sema Suuu

Acha umbea wewe. UMETUMWA?
 
Last edited by a moderator:
Ukimsikiliza Madame B kwa kila kitu utajikuta huongei na mabesti zako kama mimi. Haya hapo juu nimeongea kibaya chochote na wewe?

Ushapata pesa zako za mavuno ya korosho basi unataka ubebe kila shori hapa mjini.
Nasema ole, narudia tena ole nikukute na mdogo wangu YNNAH au wifi yangu Chocs, kucha, meno na jicho...halali yangu nakwambia.
 
Last edited by a moderator:
Maskini Madame B yalivyokushuka...!!! Ukome kuingilia visivyokuhusu!

We we we!
Hapana chezea mimi.
Mie ni kama kiwembe.
Kidude kidogo nachana mpaka makoti ya marais.
Hakuna lililonishuka wala kuniblanketi.
Hapa ni madongo kwa madongo mpaka mtu atapike nyongo.
Ogopa wake za watu.
Hebu jifanye kama unanitongoza tena uone mtiti wake.
Nafunga mtaa mpaka FFU watakuja.
 
Last edited by a moderator:
Unanitia ashiki! Kama hujui kusoma hata picha si ushaiona bibie?

Aii wewe subiri basi walale ndio useme haya, shogangu Madame B anasikia kila kitu, si unamjua tena anasikilizia hapo dirishani?ngoja basi alale ndio nitakujibu vile mimi nasikia
 
Last edited by a moderator:
Sidanganyiki Madame B, kwanza siku hizi nshaokoka mwenzako.
 
Last edited by a moderator:
Copy kwa.......,
narudia tena Copy kwa....., (huku naangalia mapigo yako ya moyo yanavodunda
Niitume?
Niitume?

Endelea tu na najua unataka kutuma kwa Arabela ila naye hajaziki ujinga kirejareja kiviile!
 
Last edited by a moderator:
Aii wewe subiri basi walale ndio useme haya, shogangu Madame B anasikia kila kitu, si unamjua tena anasikilizia hapo dirishani?ngoja basi alale ndio nitakujibu vile mimi nasikia

Nishasema ushoga wa mjini kazi, ona sasa.
Ina maana wewe Mrembo by Nature hujui kama Arushaone ni zilipendwa wangu?
Na siku zote unaambiwa Mahawara hawaachani.
Kaa mbali na tembo.
Unakijua kikundi cha MKODOBWE INC chini ya mwenyekiti mie mwenyewe Madame B, katibu mwaJ, mweka hazina Kipipi na wapambe akina lara 1 na snowhite.
Utarudi kwenu Mferejimaringo Zenji kwa ngoko.
 
Last edited by a moderator:
Nakuaminia...ila nimeshamtanguliza alikokuwa anatishia kupeleka copy. Anaonaje aibu...!?

Huyu ni shoga yangu kidawa Arushaone, heeeh mambo ya kumsema eti anaona aibu tutagombana saa hivi na mpango wenyewe wa kukutia ashki utaishia hapa. Usimguse shoga yangu wa kufa na kuzikana, anavyonisitiri mjini hapa kuniazima madera yake, viatu vya CL, obagi na mawigi unadhani mchezo
CC Madame B
 
Last edited by a moderator:
Nishasema ushoga wa mjini kazi, ona sasa.
Ina maana wewe Mrembo by Nature hujui kama Arushaone ni zilipendwa wangu?
Na siku zote unaambiwa Mahawara hawaachani.
Kaa mbali na tembo.
Unakijua kikundi cha MKODOBWE INC chini ya mwenyekiti mie mwenyewe Madame B, katibu mwaJ, mweka hazina Kipipi na wapambe akina lara 1 na snowhite.
Utarudi kwenu Mferejimaringo Zenji kwa ngoko.
Shoga hebu soma hapo juu kwanza, najua unaniweka mjini sana shoga, siwezi kucheza na wewe.....chezeya shogake wewe
 
Back
Top Bottom