Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,194
- 13,426
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kushika dola wewe? Euro je?
Nina stack ya Ben Franks hapa....wasemaje sasa?
Nshasema sikutaki Madame B mbona huelewi?
Nilikwenda kule kwa wakubwa wenzangu kucheki kama kuna habari mpya ya mjini. Nimerudi. BTW huko afrika mashariki muda huu ni saa ngapi?
Ben kafulia huyo wewe. Kwanza nyumba'ake ndogo ni Juliana Shonza:teeth:
Madame B hata ukinikana mimi ni wako wa kufa na kuzikana,achana na Ben Saanane ni tapeli wa mapenzi,muda mfupi ujao utajua kila kitu kuhusu huyu almasi bandia wako!
Nyinyi kuleni hivyo vinono,mimi naomba hata hayo mabaki!Kwani mie nakutaka?
Niko na Ben Saanane wangu, twala vinono.
Tatizo huku kuna wababe!yaan kupotea njia 2 jamaa anantoa resi!. ikabid nikatize kazi yangu nikalala kwenye mtaro! Na akiendelea na hyo tabia ntamfanya client kwny hyo kaz yangu
Ben kafulia huyo wewe. Kwanza nyumba'ake ndogo ni Juliana Shonza:teeth:
Shem langu la Ukwenhe watu8, shem wako ndo nishazama ndani ya moyo wa mtu.
Sasa Utakuwa unakuja ikulu kana kwamba unaenda mpirani.
Hv shem Couple bora ya ChitChat alishinda nani?
Ni mie na Saccos yangu au?
Nyani Ngabu, ndo mana niko nae kwa sababu hyo hyo.
Unajua mkiwa wake wenza, mnasaidiana majukumu.
Ninyime hela ila usininyime shuhuli, mtaa utatimuka vumbi.....chezeya wewe shogake first lady wa Ben Saanane
Thanx... Anyway, Im a new guy in Jf... Bado nashangaashangaa huku huko... Nielewe mji huu kwanza.