Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pokea salaam ya upendo kutoka kwa Arushaone, nenda kaniote ndotoni tafadhali.
Amani iwe nawe kaka. Salamu zimefika. Umemisika!
Amani iwe nawe kaka. Salamu zimefika. Umemisika!
Aliingia vuuuu nikamtimua labda aje kwa adabu tutamsikiliza! Ebu muite aje hapa maana hilo jinale kwangu ni kichina!
Nahisi atakuwa amekamatia bajaji na kusepa.
Maana ule mkwara ulompiga, sijui kama atarudi.
Wapi Kongosho? Nina kazi naye.
Mndele hebu lala.
Muda wa wakubwa huu.
....Nafurahi kukuona, vipi mambo ya Nkoarua tukutane pale next weekend?
Mwache tu dogo akalale muda wake wa kukaa nasi mpaka mishale hii bado sana!
Kule poa si unajua nikama ulaya ulaya hivi? Tufanye jmosi ili tuamze na supu pale kwa Justace (twins grocery) pale barabarani kabla hatujapandisha nkoarua. Unaonaje?
Nashusha pumzi kwanza. Siwezi lala huku natweta mndele. Si unajua tena? Paw anakusalimia
Imeniuma sana.
Kumbuka tuliwekeana ahadi kuwa hata tukiachana, siri zitabaki ndani ya kampuni.
Nini sasa unafanya?
Utawekwa korokoroni na Rais wenu mtarajiwa Ben Saanane.
Acha kuzibia watu riziki zao Arushaone.
Utajuaje, pengine alikuwa anampigia misele KOKUTONA au Mrembo by Nature je!
Acha hzo