Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

images
mwee unamfaidi sana huyu Madame B lol
kwikwiiiiiiiiikwiiiii hapa lazima atote
 
Historia fupi ya ex mke wangu Madame B

nilimkuta mtoto uso una chunusi,nikapata kazi ya kuuremba uso.
Mtoto alikuwa na nyayo zilizochanika miguuni ka steel wire nikampa lotion miguu ikawa milaini kama skonzi.
Madame B alikuwa na nywele ka mkutano wa inzi,nikampeleka saluni,leo anarembeshwa na rasta,
Madame B alikuwa ana nguo moja tu ambayo ni gauni,lakini nikampeleka shopping nguo kajaza mabati matano.
Madame B alikuwa na ndala,nikamnunulia viatu,leo ana pea zaidi ya ef 5.
Madame B alikuwa anaendesha baiskeli,nikamnunulia mercedes benz.
Leo Madame B ananigeuka kwenda kwa Ben Saanane ambaye naye nilimpokea calcuta india,nikamsaidia pocket money.
Kweli kikulacho ki nguoni mwako,
rafiki yako ndio adui yako.
 
Last edited by a moderator:
aiseeee naona nianze kukuonea huruma maana umekaribia kuachwa na utalia kama Chimbuvu. huyu ukiona unazidi kumpenda ni ishara ya yeye kuongeza mwanaume mwingine. Naongea kwa experience
 
Last edited by a moderator:
Historia fupi ya ex mke wangu Madame B

nilimkuta mtoto uso una chunusi,nikapata kazi ya kuuremba uso.
Mtoto alikuwa na nyayo zilizochanika miguuni ka steel wire nikampa lotion miguu ikawa milaini kama skonzi.
Madame B alikuwa na nywele ka mkutano wa inzi,nikampeleka saluni,leo anarembeshwa na rasta,
Madame B alikuwa ana nguo moja tu ambayo ni gauni,lakini nikampeleka shopping nguo kajaza mabati matano.
Madame B alikuwa na ndala,nikamnunulia viatu,leo ana pea zaidi ya ef 5.
Madame B alikuwa anaendesha baiskeli,nikamnunulia mercedes benz.
Leo Madame B ananigeuka kwenda kwa Ben Saanane ambaye naye nilimpokea calcuta india,nikamsaidia pocket money.
Kweli kikulacho ki nguoni mwako,
rafiki yako ndio adui yako.
Chimbuvu,

Yote hayo uliyomfanyia ndiyo umnyanyase na kumtesa? Pole

Calcuta India tena? Wewe si safari zako ni Dar na Malampaka tu?ni lini ulishaenda hata Burundi?

Acha Kumchafua Madame B kwa sababu ame-move on.Ha ha ha pole

CC: Ma-Ex wake
CC:Ma-ex wangu
 
Last edited by a moderator:
Akiwa kama imelda Marcos namtimua ila nimemfanyia vetting ya kutosha.Unajua sweetlady nilipokutana na Madame B mara ya kwanza nilichukua tahadhari sana asijekuwa ametumwa,ilikua ni mwendo wa kukagua kucha kila mara hadi nilipojiridhisha she's for real.Now i'm Rolling with her....!

Hahahahahaha haya kwa ushahidi huu nakubali lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom