Najivunia sana! Kuwa na Mke mwenye AKILI...

Huo mwito nimeuona ndo maana nikamwambia watu8 aache mpango wa kando ampende mkewe measkron huyo Zahra White sijui anamtafutia nini watu8 hivyo
copy HorsePower na SnowBall

Mr Rocky, Zahra White huenda anataka kuvunja ndoa ya watu8!

Tukirudi kwenye mada, sidhani kama nina mengi ya kusema kwa my dearest wife, sina hakika kama ana akili sana kuliko wengine au laa au ni mzuri sana kuliko wengine ama laaa, au ana tabia njema sana kuliko wengine au laa, au mpole na mnyenyekevu sana kuliko wengine au laa, au anaheshima sana kuliko wengine au laa, nk ila ninachoweza kusema, hakika amestahili kuwa mke wangu kwa kila hali, na mpaka sasa sijaona bado wa kufanana naye!
 

Mkuu hilo la Zahra White naliona na watu8 kakaa kimya kama sio yeye vile
Umenena mkuu HorsePower na Mwenyezi Mungu atangulie katika ndoa yako na familia yako yote mema yakapatikane katika maisha yenu na akuepushe kutamani mpango wa kando
 
Last edited by a moderator:
Pombe yenyewe nzuri !
Cha umakini usije tu ukaiongezea maji yakapitiliza !
 
enhee! mambo huwa yanaanza taratibu hivi..afu mwisho wa siku inakuwa full

kiwatengu hayatarajii kufikia huko unakotaka wewe watu washashtuka sasa hivi ukitaka mambo unaenda kule kwa kujificha sio hapa sebuleni
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…