Najivunia sana! Kuwa na Mke mwenye AKILI...

Najivunia sana! Kuwa na Mke mwenye AKILI...

Kupata mke mwenye akili na mwenye kujiheshimu ni jambo la kumshukuru MUNGU!!

Ninafurahia sana kuwa na mke mwenye busara, kujiheshimu kwingi na akili za kutosha!

Kipimo cha haya yote ni jinsi anavyozikabili changamoto za kimaisha na kupambanua mambo kwa utashi mkubwa!

Go on honey! Just Go on!! your Man(me) loves you so much!!

Wenye wake zenu humu..
Mnajivunia nini kwa wake zenu?

kina watu8 Judgement Arushaone, figganigga Filipo Erickb52 Kaizer Mr Rocky Mwanyasi mshana jr....

Na wanaume wengine...
whats up with ur wives?

CC: kwa ba mkwe Asprin
najivunia mke wangu kuwa na mwili jumba,mbabee kitu kiogo tu anakuja juu,ugovi kidogo tu utaskia atakupasua?NIKIKAA nakunywa bia lazima aje hiyo baa na tifu liibuke anichukue mzoga mzoga,najivunia mke wangu maana hata wadada mtaani wanaogopa kunisalimia maana wanajua shari lake,pia najivunia mke wangu hana adabu kwa wakwe zake na hataki ndugu yoyote si wake au wangu,JAMANII NAJIVUNIA MAMA HAVIJAWA WANGU
 
najivunia mke wangu kuwa na mwili jumba,mbabee kitu kiogo tu anakuja juu,ugovi kidogo tu utaskia atakupasua?NIKIKAA nakunywa bia lazima aje hiyo baa na tifu liibuke anichukue mzoga mzoga,najivunia mke wangu maana hata wadada mtaani wanaogopa kunisalimia maana wanajua shari lake,pia najivunia mke wangu hana adabu kwa wakwe zake na hataki ndugu yoyote si wake au wangu,JAMANII NAJIVUNIA MAMA HAVIJAWA WANGU

huyo ni nouma! mwende gym tu. atakuogopa mkuu
 
Samahani kama nitawakwaza.

Huwa siamini kama wanawake wana akili. Wanategemea akili za wanaume ktk kuendesha mambo yao.

Ndio maana wanasema wakiwezeshwa wanaweza.

mke wangu ni watofauti kidogo Mzee!! siyo mpaka nimwezeshe
 
Last edited by a moderator:
Asante mpenzi kwakuona umuhimu wangu na thamani yangu sina mengi yakueleza zaidi ya kusema asante kwa kunipenda kiwatengu your the best lover ever

wife wife! umetoka kwa Mungu wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky, Zahra White huenda anataka kuvunja ndoa ya watu8!

Tukirudi kwenye mada, sidhani kama nina mengi ya kusema kwa my dearest wife, sina hakika kama ana akili sana kuliko wengine au laa au ni mzuri sana kuliko wengine ama laaa, au ana tabia njema sana kuliko wengine au laa, au mpole na mnyenyekevu sana kuliko wengine au laa, au anaheshima sana kuliko wengine au laa, nk ila ninachoweza kusema, hakika amestahili kuwa mke wangu kwa kila hali, na mpaka sasa sijaona bado wa kufanana naye!

Nondo nondo!! jiwe jiwe...
safi sana
 
ya peke yangu itakuwa afadhali,nani uyo yuko available
 
Back
Top Bottom